Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Wakuu, nimekuwa nikifuatilia habari za mikutano na misafara ya mgombea urais kwa tiketi ya CUF, Mh Prof Lipumba,
sasa ambacho nimekiona kwa siku mbili hizi mfululizo zilizopita (jana na juzi) ni kwamba anatumia Prado mayai, ambayo kwa mawazo yangu sidhani kama ni the best car kwa barabara zetu hasa za kusini, mara mbili hizi TBC wanaonyesha kwanza kakipande ambapo boneti limefunguliwa, kwamba eti ni kash kash za njiani
Ushauri wangu ni kwamba ataufte gari nyingine ngumu zaidi, sidhani kama CUF pamoja na ruzuku yote wameshindwa kununua walau gari moja imara la mgombea urais
Of course wengine wanaweza kusema mbona ya JK yaliharibiki, kwamba ni kawaida ya magari nk, lakini nadhani kwenye kampeni kama hivi anahitaji kila sekunde kuongea na wananchi!
sasa ambacho nimekiona kwa siku mbili hizi mfululizo zilizopita (jana na juzi) ni kwamba anatumia Prado mayai, ambayo kwa mawazo yangu sidhani kama ni the best car kwa barabara zetu hasa za kusini, mara mbili hizi TBC wanaonyesha kwanza kakipande ambapo boneti limefunguliwa, kwamba eti ni kash kash za njiani
Ushauri wangu ni kwamba ataufte gari nyingine ngumu zaidi, sidhani kama CUF pamoja na ruzuku yote wameshindwa kununua walau gari moja imara la mgombea urais
Of course wengine wanaweza kusema mbona ya JK yaliharibiki, kwamba ni kawaida ya magari nk, lakini nadhani kwenye kampeni kama hivi anahitaji kila sekunde kuongea na wananchi!