Gari la Serikali lanaswa na madawa ya kulevya

Kabisa sijui tungekuwa na hali gani saa hizi
 
Mama yeye anajipigia kampeni tuu ...hatarii sana hii.
 
MIRUNGI au BANGI

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ilitakiwa baada ya kuliuza gari hilo serikali ichukue vibao vyake vya namba na kuvihifadhi wa ile mamlaka ya kuharibu vifaa na data za serikali ili viharibiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…