Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Italy kuna mji unaitwa Taranto ndio naujua na sio Toronto sahihisha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii lugha ya "waliweza" haijakaa poa sana𝗚𝗮𝗿𝗶 𝗹𝗮 𝗧𝗲𝘀𝗹𝗮 𝗹𝗶𝗺𝗲𝘂𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂 𝘄𝗮𝗻𝗻𝗲 😔
View attachment 3152687
Watu wa nne wenye umri kati ya miaka 26 mpaka 32 waliweza kupoteza maisha kwenye jiji la Toronto nchi ya Italian Baada ya gari aina ya Tesla kuwaka moto baada ya kugonga nguzo wakiwa ndani na kushindwa kutoka.
View attachment 3152689
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 20 yeye alikua Abiria wa tano aliyeweza kunusulika chupuchupu baada ya mtu mmoja kuvunja Kioo cha karibu na kumtoa nje.
View attachment 3152690
Gari za Tesla zinatumia mifumo ya electronic kujiendesha mpaka kujifungua sasa watu hao walikufa baada ya milango kujiloki wakati watu hao walipopata ajali kwa kugonga nguzo ya umeme iliyopeleka gari kuwaka moto wakiwa ndani na kufanya milango kujifunga kusababisha watu kuungulia ndani ya gari mpaka kufa😞.
View attachment 3152692
Gari za Tesla zinalalamikiwa sana kwenye kusababisha watu kufa huku wakijitahidi kujinasua maana wengi wanajikuta wanakufa wakiwa kwenye mazingira magumu baada mitambo ya kieletroniki kushindwa kufanya kazi.
Yeah! Wanaotumia hilo neno hawana tofauti na wale wanaopenda kusema wahanga wa vita,hii lugha ya "waliweza" haijakaa poa sana
waliweza kupata ajali
waliweza kufugwa goli 2
mtuhumiwa aliweza kuhukumiwa