Gari la Tesla limeua watu wanne

hii lugha ya "waliweza" haijakaa poa sana

waliweza kupata ajali

waliweza kufugwa goli 2

mtuhumiwa aliweza kuhukumiwa
 
Habari umeandika ni kama vile tesla self driving ndio imesababisha ajali wakati uchunguzi unafanyika na taarifa za awali zinaonyesha gari ilikuwa kwenye kasi kubwa na kumbuka kabla ya software update ya fsd 12.5.4.1, max spidi ya self drivingi ilikuwa na 40kph, habari kama hizi zilete kama zinavyoripotiwa punguza maoni binafsi utajikuta unakuwa bias
 
hii lugha ya "waliweza" haijakaa poa sana

waliweza kupata ajali

waliweza kufugwa goli 2

mtuhumiwa aliweza kuhukumiwa
Yeah! Wanaotumia hilo neno hawana tofauti na wale wanaopenda kusema wahanga wa vita,
Wahanga wa ajali, badala ya kusema
Waathirika wa vita,
Waathirika wa ajali.
Wahanga ni wale watu waliopata tatizo Kwa kujitoa (kujitoa muhanga) wakati waathirika ni wale waliopata tatizo bila kupenda.

Vichwa maji kabisa.
 
Ulivyoisagia kunguni tafkiri una hata bajaji ya kutembelea Kenge wewe...ivi ubajua Auto druve inalimit ya speed kati ya 30-50 mwisho? ..Unless kujiendehsha sio sababu kuna sababu nyingine
 
ndio maana langu nililiuza.

stori ya kikanjanja, na mchango wangu wa kibwege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ