Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina eneo la bei wanaliweza maana wanacheza na kichwa cha mteja. Kama kina sisi uchumi mdogo na mazoea ya kupenda vya chee,tutaletewa vya saizi yetu.Kwahiyo Xiaomi watakuwa kila mahali, wanatengeneza kila kitu kuanzia cm mpaka magari ila hata apple walisema watatengeneza electric cars... hapo kwenye kuhusu bei sitaki hata ku_imagine
Wachina eneo la bei wanaliweza maana wanacheza na kichwa cha mteja. Kama kina sisi uchumi mdogo na mazoea ya kupenda vya chee,tutaletewa vya saizi yetu.
Waulizeni vizuri Ethiopiakwa bei wanaletaga bei affordable ila durability ndio sijui, bei ghari nlkuwa nasemea apple hiyo gari yao ya electric itakuwa bei ambayo haina kikomo
Waulizeni vizuri Ethiopia
Ethiopia vitz tu ama vigari vidogo vidogo vinaweza fika milioni 40, hivyo inabidi wanunue gari za Kichina zinazotengenezwa ndani, ambazo nyingi hazidumu na sio nzuri kama Used za kijapanEthiopia?
Ethiopia vitz tu ama vigari vidogo vidogo vinaweza fika milioni 40, hivyo inabidi wanunue gari za Kichina zinazotengenezwa ndani, ambazo nyingi hazidumu na sio nzuri kama Used za kijapan
![]()
Why are cars so expensive in Ethiopia?
Owning a car for many Ethiopians - even those with ready cash to spend in one of the world's fastest-growing economies - remains a pipe dream, writes Emmanuel Igunza.www.bbc.com
Ethiopia vitz tu ama vigari vidogo vidogo vinaweza fika milioni 40, hivyo inabidi wanunue gari za Kichina zinazotengenezwa ndani, ambazo nyingi hazidumu na sio nzuri kama Used za kijapan
![]()
Why are cars so expensive in Ethiopia?
Owning a car for many Ethiopians - even those with ready cash to spend in one of the world's fastest-growing economies - remains a pipe dream, writes Emmanuel Igunza.www.bbc.com
Ndo mana kuna foleni sana huku.Nimesoma hiyo article, kumbe bongo tuna unafuu sana jamaa anasema “One of its cheapest saloon models costs about $20,000 new.”
Xiomi ni apple ya china yani wanajikuta apple.Kwahiyo Xiaomi watakuwa kila mahali, wanatengeneza kila kitu kuanzia cm mpaka magari ila hata apple walisema watatengeneza electric cars... hapo kwenye kuhusu bei sitaki hata ku_imagine
wanauza mpaka toilet paper, sema ni simu tu ndio bei rahisi vitu vyao vingine ghali.Xiomi ni apple ya china yani wanajikuta apple.
Sema wana products safi sana
Nmeona home theatre zao. Hivi huawei bado ana mpango wa kuendelea kutengeneza simu?wanauza mpaka toilet paper, sema ni simu tu ndio bei rahisi vitu vyao vingine ghali.
mbona hajaacha? mate na P series zinatoka, even nova 9 imezinduliwa wiki hii ulayaNmeona home theatre zao. Hivi huawei bado ana mpango wa kuendelea kutengeneza simu?
Kodi kubwa kudadekiEthiopia vitz tu ama vigari vidogo vidogo vinaweza fika milioni 40, hivyo inabidi wanunue gari za Kichina zinazotengenezwa ndani, ambazo nyingi hazidumu na sio nzuri kama Used za kijapan
![]()
Why are cars so expensive in Ethiopia?
Owning a car for many Ethiopians - even those with ready cash to spend in one of the world's fastest-growing economies - remains a pipe dream, writes Emmanuel Igunza.www.bbc.com