CCM hao nini?
lakini tusubiri taarifa zaidi isije ikawa leo ni siku ya wajinga!!!
Zitto alikuwa na mkutano leo DDC
Re: Breaking News: Gari la Zitto lapata ajali???
--------------------------------------------------------------------------------
Quote: UFUNUO WA YOHANA
CCM hao nini?
lakini tusubiri taarifa zaidi isije ikawa leo ni siku ya wajinga!!!
Zitto alikuwa na mkutano leo DDC
chadema oyeeeeeeeeeeeeeee !
Kada huwa una kazi nyingine ya kufanya ama upo ni mwajiriwa wa hapa jf?
Nauliza maana kila wakati mchana na usiku huwa uko hapa ama mko wengi lakini mna mawazo yanayofanana?
Hata week end jamani?sijui wewe ni mkaka ama ni mdada ,naomba kuuliza usinielewe vibaya, mimi ni mwandishi wa habari.
Kada hata mambo serious unaweka mambo ya masihara, ama kati ya wanne waliokuwamo katika gari ulikuwamo na ww? Maana huwezi kusema Chadema oyeee kwa ajali. Acha nijipumzikie niachane na kero zisizo maana weekend hii
Kada unazungumza kwa niaba ya nani?
wanaposhindwa hoja, wao huleta vioja!!
Pole mzee Zitto wapo watakaokutisha lakini Mungu yupo kwa aliye ktk haki.
Watu hapa wana vituko kweli kweli, yaani kwasababu gari la Zitto limegonga nyumba basi hapo kuna mkono wa mtu?
Kwa mtu mwenye uzoefu na Tanzania hilo mimi sishangai, si ajabu dereva ndio alipata muda wa kwenda kutamba na gari la boss wake na kusababisha ajali.
Hapo mimi naona moja kwa moja ni uzembe wa dereva, atakuwa alienda kulitumia hilo gari au aliwaachia marafiki zake.
Acheni kuwa paranoid na CCM au serikali yake hata kwa mambo ambayo kwa kweli hayana maana.
Pole sana Zitto kwa gari lako kupata ajali.
Maelezo ya dereva ndiyo yatakayotoa mwanga ni mapema mno kusema lolote