Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari zenu wakuu
Mimi nina tatizo la kuumwa mgongo hasa maeneo ya karibu na kiunoni na tatizo hili huwa linanikumba kila baada ya kuendesha gari
So naombeni msaada wenu wa kuweza kulitatua hili tatizo
Shughuli zako ni kukaa muda mrefu? Vp shemeji yetu home anakuhudumiaje mkiwa kitandan usije kukuta unajipinda mithili ya Messi ili "kumkomesha" maana wangoni/wakwere ndo zenu
Habari zenu wakuu
Mimi nina tatizo la kuumwa mgongo hasa maeneo ya karibu na kiunoni na tatizo hili huwa linanikumba kila baada ya kuendesha gari
So naombeni msaada wenu wa kuweza kulitatua hili tatizo
Habari zenu wakuu
Mimi nina tatizo la kuumwa mgongo hasa maeneo ya karibu na kiunoni na tatizo hili huwa linanikumba kila baada ya kuendesha gari
So naombeni msaada wenu wa kuweza kulitatua hili tatizo
Jitahidi uendeshe huku umesimama
Aendeshe nini?Jitahidi uendeshe huku umesimama
Habari zenu wakuu
Mimi nina tatizo la kuumwa mgongo hasa maeneo ya karibu na kiunoni na tatizo hili huwa linanikumba kila baada ya kuendesha gari
So naombeni msaada wenu wa kuweza kulitatua hili tatizo
Ushauri mzuri sana mkuu,Kuna ndugu yangu mmoja alianza hivyo hivyo maumivu ya mgongo karibu na kiuno yeye akadhani ni kwa sababu ya kuendesha gari. Baadaye maumivu yalianza kuzidi hata asipoendesha gari na akaanza kutibiwa hospitali mbalimbali hadi kwa Wachina. Maumivu yalipozidi akapewa mkanda fulani hivi anauvaa una-cover mgongo wote.
Baada ya kuona maumivu hayaishi na muda mrefu ametumia dawa za aina mbalimbali aliandikiwa aende MOI Muhimbili ambako aliambiwa kufanyiwa kipimo cha MRI ndipo akagundulika ana TB ya mfupa na imeathiri kwenye Intervertebral disc kati ya pingili ya 3 na ya 4 ya Lumbar vertebrae. Baada ya hapo ameanzishiwa dawa za TB na hadi sasa anaendelea vizuri na maumivu ya mgongo yamepungua.
Kwa hiyo nakushauri kama ukienda hospitali ukatumia dawa sana hupati nafuu jaribu kupima hii kitu. Ndugu yangu alihangaika karibu 2 years hadi tatizo kuja kugundulika.
Pole mkuu...hua unaendesha safari ndefu au hata kwa misele ya kawaida tu? Jaribu kuadjust kiti na namna ya ukaaji huenda ikasaidia..kama unakaa mbali na usukani jaribu kusogea karibu.. na kiti kinyooke kisilale