Whitepanther
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 289
- 458
Ukizidiwa kichwa cha chini kikaamka na kinadai aisehhh akili ya kawaida huwa ni kama haifanyi jazi tena na ukute opponent nae ni mjuzi wa mambo akapiga msamba na hivi vigari vyetu vya auto bila handbrake ni lazima mikito ikizidi mtavuta kwenye R kama sio N au kabisa kwenye D sasa mjuba ukija stuka unakuta chombo kimechanganya... Caution [emoji615] vuta handbrakeMziki mkubwa, full ac unategemea nini hapo.... wacha samaki wakamalizie kipindi cha pili
Uchawi upoKuna clip inazunguka kwenye Watsap kuwa kuna Gari limetumbukia COCO BEACH mchana huu
Wewe ni SHABABY... Daaah umeongea yoteUkizidiwa kichwa cha chini kikaamka na kinadai aisehhh akili ya kawaida huwa ni kama haifanyi jazi tena na ukute opponent nae ni mjuzi wa mambo akapiga msamba na hivi vigari vyetu vya auto bila handbrake ni lazima mikito ikizidi mtavuta kwenye R kama sio N au kabisa kwenye D sasa mjuba ukija stuka unakuta chombo kimechanganya... Caution [emoji615] vuta handbrake
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaitwa "parking brake" sio lazima iwekwe kwa mkono...Usisahau kuweka handbrake mkuu 😀😀
Mida ya saa nne hivi saa tano huwa kunabamba sana unavuta unasogea kimtimdo ukiwa na pisi yako basi kuna kaburudani fulaniS
Sijui ni uvivu wa kutembea, kwani ukipaki huku nyuma kuna shida gani? Au watu watakuwa hawajaona Kama mmekuja na gari?
Nimeumia sana.
Kaopolewa nadhani ndicho alichomaanishaHivi unaweza kusema "mmoja ameokolewa... amepelekwa mochwari ameshafariki".?
Kuokoa maana yake si ni kufanya kitu au mtu aendelee kuishi? Sasa unawezaje kuokoa maiti?
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Na ndiyo maana Mungu katuacha tujaribiweShetani akiamua kukuaibisha acha kabisa [emoji30][emoji30]
Handbrake = Parking brake. Sio kila gari parking brake inavutwa kwa mkono.... nyingine zinakanyagwa kwa mguuUkizidiwa kichwa cha chini kikaamka na kinadai aisehhh akili ya kawaida huwa ni kama haifanyi jazi tena na ukute opponent nae ni mjuzi wa mambo akapiga msamba na hivi vigari vyetu vya auto bila handbrake ni lazima mikito ikizidi mtavuta kwenye R kama sio N au kabisa kwenye D sasa mjuba ukija stuka unakuta chombo kimechanganya... Caution [emoji615] vuta handbrake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama harrier ni za kukanyaga ila ndiyo tuseme parking brake inatosha maana P peke yake haifaiHandbrake = Parking brake. Sio kila gari parking brake inavutwa kwa mkono.... nyingine zinakanyagwa kwa mguu
Kipi bora kukunjwa kwenye gari au upambane na huyu mwamba vichakani?Vichaka vinakazi gani mpaka nikajikunje kwenye siti ya gari
😂😂 mnyanduano popote pale utakapopata nafasi na mzuka ujue! Tunanyanduana juu ya jiko likiwa limewashwa sembuse beach aah😂😂Kumbe mnanyanduanaga hapo kwenye hizo reefs
Polisi wa Tanzania ni wainga kabisa. Kuna sheria inayokataza? Hata kama ipo, adhabu yake ni viboko? Kweli nchi zetu ndiyo maana zinaitwa ziko dunia ya tatu.Enzi hizo shoga angu alichezea fimbo za polisi wa O'bey, kanambia nisubiri kumbe wamesogea pembeni huko wananyanduana, mara polisi hao, walikula fimboo.
halafu ukute waliokuwa wananyanduana ni mme wa mtu na mke wa mtu aka mahawaraMatokeo ya kunyanduana bila kuweka handbrake 🥴🥴🥴
Hawa ni duma. Hawana madhara kwa binadamu hata ukutane nao porini.Kipi bora kukunjwa kwenye gari au upambane na huyu mwamba vichakani? View attachment 1962793
Vipi tukisema ni mauaji!!!?It doesn’t click on my mind really, jamaa alifata nini maeneo hayo na gari mpaka kuidumbukiza kwenye maji🤨
Kuna kitu hujaelewa mama,S
Sijui ni uvivu wa kutembea, kwani ukipaki huku nyuma kuna shida gani? Au watu watakuwa hawajaona Kama mmekuja na gari?
Nimeumia sana.
Weeeeh, hadi wewe unashangaa mwanangu au sio?? 🤣It doesn’t click on my mind really, jamaa alifata nini maeneo hayo na gari mpaka kuidumbukiza kwenye maji🤨