Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
- Thread starter
- #21
We MzeeMziki mkubwa, full ac unategemea nini hapo.... wacha samaki wakamalizie kipindi cha pili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We MzeeMziki mkubwa, full ac unategemea nini hapo.... wacha samaki wakamalizie kipindi cha pili
Kuna clip inazunguka kwenye Watsap kuwa kuna Gari limetumbukia COCO BEACH mchana huu
Ilikua sahihi kusema mwili wa mmoja wa waliokua ndani ya gari umepatikana.Hivi unaweza kusema "mmoja ameokolewa... amepelekwa mochwari ameshafariki".?
Kuokoa maana yake si ni kufanya kitu au mtu aendelee kuishi? Sasa unawezaje kuokoa maiti?
Jinsia ya aliyepatika imejulikana...?Ilikua sahihi kusema mwili wa mmoja wa waliokua ndani ya gari umepatikana.
Sijui ni uvivu wa kutembea, kwani ukipaki huku nyuma kuna shida gani? Au watu watakuwa hawajaona Kama mmekuja na gari?Kupaki gari kwenye iyo miinuko karibu na bahari sio salama
anything can happen
Ili uhakikishe hoja yako ya kunyanduana.Jinsia ya aliyepatika imejulikana...?
Watu wanataka show offs za kiboya 😅S
Sijui ni uvivu wa kutembea, kwani ukipaki huku nyuma kuna shida gani? Au watu watakuwa hawajaona Kama mmekuja na gari?
Nimeumia sana.
Kumbe mnanyanduanaga hapo kwenye hizo reefsIt's like you're speaking from experience eeh! Wewe huwa unanyanduana ukiwa umeweka handbrake?🤔
Huchelewi kusema alikuwa Uch* Yaaaani Mwalimu wa tuisheni 😄😄😄Hapana, nina mengi, japo hilo ni mojawapo
Shetani akiamua kukuaibisha acha kabisa 😩😩It doesn’t click on my mind really, jamaa alifata nini maeneo hayo na gari mpaka kuidumbukiza kwenye maji🤨
Ni aibu aiseeShetani akiamua kukuaibisha acha kabisa 😩😩
Ahhh acha bana,Huchelewi kusema alikuwa Uch* Yaaaani Mwalimu wa tuisheni 😄😄😄
Duh yani ni mambo ya aibu sanaEnzi hizo shoga angu alichezea fimbo za polisi wa O'bey, kanambia nisubiri kumbe wamesogea pembeni huko wananyanduana, mara polisi hao, walikula fimboo.
Kwanini nichomwe na miiba kwenye vichaka wakati gari ipo?Vichaka vinakazi gani mpaka nikajikunje kwenye siti ya gari
Hatimaye polisi waokoa roho mbili zilizotaka kufa kwa ngonoEnzi hizo shoga angu alichezea fimbo za polisi wa O'bey, kanambia nisubiri kumbe wamesogea pembeni huko wananyanduana, mara polisi hao, walikula fimboo.
Miiba utaitoa, chuma ikiserereka kwenye maji utafanyajeKwanini nichomwe na miiba kwenye vichaka wakati gari ipo?
Usikute alikuwa na Mke wa watu...Chocho la Bure la Mchana... Jingine Beach Mavi aka Beach Kimba Msasani...Enzi hizo shoga angu alichezea fimbo za polisi wa O'bey, kanambia nisubiri kumbe wamesogea pembeni huko wananyanduana, mara polisi hao, walikula fimboo.
Maiti "inaopolewa"Hivi unaweza kusema "mmoja ameokolewa... amepelekwa mochwari ameshafariki".?
Kuokoa maana yake si ni kufanya kitu au mtu aendelee kuishi? Sasa unawezaje kuokoa maiti?