Gari latumbukia Baharini Coco Beach

Gari latumbukia Baharini Coco Beach

Watu mna take risk [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnanyanduana kwenye jiko linalowaka hatari hii sema sex is good ukimpata mtu sahihi ambae anaweza fanya maajabu sehemu yoyote muda wowote na huwa wanadumu sana kwenye ndoa watu wa hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
The higher the riskthe higher the return mkuu! Enjoyment yake si mchezo, try and give some feedback😂
 
Hivi unaweza kusema "mmoja ameokolewa... amepelekwa mochwari ameshafariki".?

Kuokoa maana yake si ni kufanya kitu au mtu aendelee kuishi? Sasa unawezaje kuokoa maiti?
Kuokolewa ni yule aliye hai! Kuopoa huyo ni mnfu Kiswahili nacho kigumu
 
Basi wangeenda hotelini una drive inn hakuna mtu anayekuona na kama mwanammke muoga basi avae hijabu.nikabu au baibui na miwani.
Sasa hapo dem ashaelekea mfukoni Huna hela ya hotel wala gesti hpo itabd lazima ummalize tu

Ova
 
Back
Top Bottom