Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namongo bado timu changa sana, haiwezi kuwa na mashabiki wa kuifuata DSM wakati wanajua inaenda kufungwa. Wanasiasa mafisadi wanawaponza chawa maskiniKuna taarifa za kusikitisha za vifo vya mashabiki wa namungo wakielekea Dar kwenye match ya yanga vs namungo Leo ambapo gari lao lilipata ajali njiani
Leo mabingwa yanga watakutana na namungo saa Moja usiku
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Wapumzike kwa amaniKuna taarifa za kusikitisha za vifo vya mashabiki wa namungo wakielekea Dar kwenye match ya yanga vs namungo Leo ambapo gari lao lilipata ajali njiani
Leo mabingwa yanga watakutana na namungo saa Moja usiku
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Kama kawaida utopolo wameshafanya Yao, Nawaonea huruma Namungo kipigo watakachopigwa sio cha kawaida maana kafara ya damu za watu ni habari nyingine
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Asante Kalpana Kwa comment nzuri na sahihi.Uzembe wa madereva na amsha amsha ya mashabiki zinawafanya wanakua kama wehu...
Wapumzike kwa amani....