napia tuambiwe gender ya huyo mlandiziMbona Mlandizi mbona isiwe Mlamaembe?
[emoji23][emoji23][emoji23]Auto correct kwa Simu bana Samahani. Yeah the deepest part is in the Pacific ocean known as Challenger deep in Guam that forms the Mariana trench. [emoji16][emoji16]
[emoji109]Kama mwalimu wako wa geography nakupa [emoji1534]
kwani kina cha maji hakiwezi kuwa hicho?itakuwa ni mita 50 sio km 50 maana km 50 ni sawa na Ubungo to Mlandizi
Endelea kuwaza tu kula maembe!!!Mbona Mlandizi mbona isiwe Mlamaembe?
nyie ndo mnateleza mleta mada kaandika mita 50.
Mtu kasema meter 50 wewe unasema kilomita 50???kwel tz bado sna kufikia uchumi wa viwanda
Labda deep see huko ingawa sidhani kama kuna kina cha urefu huokwani kina cha maji hakiwezi kuwa hicho?
Kimo cha km (kilometers) 50? Basi hapo mahali ni parefu balaaa
Wa wapi wewe? Hujui hilo ni jina la sehemu au unaishi Sitimbi hukoMbona Mlandizi mbona isiwe Mlamaembe?
Mwanzo aliandika km 50 amefanya editing. Mgeni wa TEHAMA nnMtu kasema meter 50 wewe unasema kilomita 50???kwel tz bado sna kufikia uchumi wa viwanda
Mlamaembe kijijini kwenu nini mkuu?Mbona Mlandizi mbona isiwe Mlamaembe?
Mtu kasema meter 50 wewe unasema kilomita 50???kwel tz bado sna kufikia uchumi wa viwanda
Yaani akili zenu makamasi kweli. Mnaongea kuhusu mita au kilomita mnasahau mada ni kuhusu uopoaji wa waliozama majini? Mbona mna akili za kuku hivi? Stick to the topic guyz.
Na kimo cha mwisho kabisa katika bahari ni km 11 sehemu moja inaitwa Mariana trenchitakuwa ni mita 50 sio km 50 maana km 50 ni sawa na Ubungo to Mlandizi
Kaandika meeter mkuu soma vizuri
Acha ubishi mleta mada ka-editnyie ndo mnateleza mleta mada kaandika mita 50.
Huyo zero brain asikupe shida sanaThe deepest place in the ocean is Mariana trench which is 11km. Sasa wewe hii 50km umeipata wapi? Au hujui hata vipimo. Kama 50m hapo sawa
Mbona isiwe maembe ripabilikii bali Banana ripabilikiiMbona Mlandizi mbona isiwe Mlamaembe?