Gari linachelewa kuchanganya napotaka kuondoka naombeni ushauri

Gari linachelewa kuchanganya napotaka kuondoka naombeni ushauri

survivor03

Senior Member
Joined
Jan 10, 2012
Posts
131
Reaction score
21
Habari mkuu,

Gar langu aina ya Vitz old model lina tatizo la kutochanganya kuondoka linachukua sekunde kadhaa ndio linakubali nikiweka gear D, nikilazimisha kukanyaga mafuta linafanya kama kustuka ndio linakubali kutembea vinginevyo mpaka usubirie. Lakini nikiweka R hapo hapo linarudi nyuma fresh, hili tatizo linatokea mara kwa mara.

Je, itakuwa nini mkuu kwa utaalamu wako?
 
Je, Hilo tatizo linatokea kipindi cha asubuh au gari ikikaa Sana Kwa muda mrefu bila kuendesha?

Je, gari yako ikishapaki unavuta hand break? Pengine ni drums za break zinakamata tairi Ila Kama matatizo hayo hayahusiani na maelezo Yangu basi itakuwa gear box ina shida...

Nenda Kwa mafundi Tu kujua TATIZO la gari yako
 
Habari mkuu,

Gar langu aina ya Vitz old model lina tatizo la kutochanganya kuondoka linachukua sekunde kadhaa ndio linakubali nikiweka gear D, nikilazimisha kukanyaga mafuta linafanya kama kustuka ndio linakubali kutembea vinginevyo mpaka usubirie. Lakini nikiweka R hapo hapo linarudi nyuma fresh, hili tatizo linatokea mara kwa mara.

Je, itakuwa nini mkuu kwa utaalamu wako?

Mbona ukikimbia mzee. Tupe mrejesho
 
Back
Top Bottom