Duh, yani ww nawe, mkubwa hilo ni jini kaka, yani ukipata hata mtu kwa m6 muachie fasta likamnyonye damu, hilo gari kwa mm hata ukiniuzia kwa m5 sichukui, lina gharama hilo. Linakula mafuta kuliko Trekta.
Hivi haya maneno mnatoa wapi? Mie ndio ninaloendesha kila siku.Kuwa mzalendo na muungwana, kwanini utake kuwauzia wenzio msala, hilo gari ni msala wa maana, spare ziko juu balaa. Na linakunywa mafuta kuliko trekta 1ltr/6km. Fugia kuku tu ule mayai. Hiyo ni ndoa ya kikatoliki baba.
Jamani! Msiwe mnatangaza ufukara wenu hadharani namna hii. Wewe unalalamikia CC 2000 za hii Nissan, kwamba inakula mafuta, wakati jirani yako ana gari la CC 4700 na hana wasiwasi. Sometimes tuwe tunapita tu. Nayo ni busara piaDuh, yani ww nawe, mkubwa hilo ni jini kaka, yani ukipata hata mtu kwa m6 muachie fasta likamnyonye damu, hilo gari kwa mm hata ukiniuzia kwa m5 sichukui, lina gharama hilo. Linakula mafuta kuliko Trekta.
Nakuunga mkonopikipiki kwa lita moja inatembea zaidi ya km40 na tunaona wanazikokota mafuta ya shida....kama huna huna ndugu wenye hela acha wanunue we baki na zinazokula wali
Duh, yani ww nawe, mkubwa hilo ni jini kaka, yani ukipata hata mtu kwa m6 muachie fasta likamnyonye damu, hilo gari kwa mm hata ukiniuzia kwa m5 sichukui, lina gharama hilo. Linakula mafuta kuliko Trekta.
Mawazo finyu sana haya. Lita 66 full tank, unatoka hapa unafika Arusha na unatumia pia. Usipokuwa na gari usiharibie watu. Mi ninalo la hivyo.Kuwa mzalendo na muungwana, kwanini utake kuwauzia wenzio msala, hilo gari ni msala wa maana, spare ziko juu balaa. Na linakunywa mafuta kuliko trekta 1ltr/6km. Fugia kuku tu ule mayai. Hiyo ni ndoa ya kikatoliki baba.
Mawazo finyu sana haya. Lita 66 full tank, unatoka hapa unafika Arusha na unatumia pia. Usipokuwa na gari usiharibie watu. Mi ninalo la hivyo.
Uko sahihi kabisaHata mm ninalo kama hilo, huu ni mwaka wa pili lipo poa sana. Hiyo gari ipo vzr sana barabarani. Kama ww ni mbabaishaji, usinunue Nissani sbb haitaki ubabaishaji.
Wewe utakuwa mchawi. Au lazima unatoka kwenye ukoo wa watu wenye tabia za kichawiMtayauza sana mwaka huu kutafuta Kodi za nyumba Sinza. Si mlizoea kutokulipa kodi mtayauza mpaka tubanane kwenye mwendo kasi.
Acha kuaribu biashara ya watu wewe, Watu type Kama zenu Utakuta Hata baiskeli hajawahi kumiliki.Duh, yani ww nawe, mkubwa hilo ni jini kaka, yani ukipata hata mtu kwa m6 muachie fasta likamnyonye damu, hilo gari kwa mm hata ukiniuzia kwa m5 sichukui, lina gharama hilo. Linakula mafuta kuliko Trekta.
Hata mie ninayo Kama hiyo, mwaka wa siku sasa inadunda, fuel consumption safi haina tofauti na rav4.wa
Acha kuaribu biashara ya watu wewe, Watu type Kama zenu Utakuta Hata baiskeli hajawahi kumiliki.