Car4Sale Gari linauzwa Nissan X-trail

Car4Sale Gari linauzwa Nissan X-trail

Duh, yani ww nawe, mkubwa hilo ni jini kaka, yani ukipata hata mtu kwa m6 muachie fasta likamnyonye damu, hilo gari kwa mm hata ukiniuzia kwa m5 sichukui, lina gharama hilo. Linakula mafuta kuliko Trekta.
ahahahhahahaaaaaaaaaaa kama ulikwepo
 
Kama huna pesa Embu usiharibie wenzio biashara, wacha kuwa na roho mbaya hivo, hio gari haina shida yoyote, sema haitaki mtu mwenye mawazo ya kimaskini, maana ni gari inayotaka gereji nzuri na sio za wagonga nyundo.
 
Kama huna pesa Embu usiharibie wenzio biashara, wacha kuwa na roho mbaya hivo, hio gari haina shida yoyote, sema haitaki mtu mwenye mawazo ya kimaskini, maana ni gari inayotaka gereji nzuri na sio za wagonga nyundo.

Sawa mkuu
Ebu ushauri wa IPI inafaa kati ya rav 4 na xtrail kwa kila kitu
Uimara,pamoja na fuel consumption.
Na pia urafiki kwa Barbara zote
Mfano kama MTU ana mishe ata shamba lipi linafaa kati haya nagari mawili?
 
Sina nia ya kukuharibia biashara ila nataka kukusaidia uuze haraka,
Ushauri wangu bei iko juu ya market price ya gari yenyewe.
Nissan X-Trail ukinunua toka Japan ni kati ya $2300 hadi $2500 kwa mwaka huo na hata mwaka 2004 ambazo zina sifa ya kuwa na leather seats na gear knob yake ni tofauti na older versions.
Gharama ya TT ni about 59$ that makes a maximum total of 2600$ hiyo ni CIF with inspection ukizidisha kwa prevailing exchange rate unapata jibu.
Ushuru wa hiyo gari ni less than 4.5mil tzs
Gharama nyingine ni;
Delivery order about 200,000tzs
Wharfage + port charges about 400,000tzs
Agency fees about 250,000tzs
Plate number about 30,000tzs
Bima ndogo ni 118,000tzs
Jumla kuu ni kama mil 11,361,000tzs kwa gari ya mwaka 2004 na yenye mileage below 100k kms
Back to the point utaona umeweka bei juu sana.
Kuhusu ubora wa gari ni nzuri inataka kuzingatia service ya uhakika na huwa haitaki kuoshwa engine ukifanya hivyo mara kwa mara itaathiri kompyuta yake na kuwasha taa ya check engine na nyinginezo so ushauri puliza na pressure air na kufuta tu engine.
Kuhusu fuel consumption kuwa makini na selection ya 4wd au AWD ikiwa kwenye auto au kwenye 4wd lazima consumption ya mafuta itakuwa juu hasa ikiwa automatic kwa vile inajichagulia gear so kama kwenye foleni inakuwa gear kubwa i.e 1 au 2 halafu iko 4wd halafu unatumia AC lazima itacucost.
Otherwise ni gari nzuri sana rekebisha bei iwe within market price utauza tu.
I stand to be corrected but I thought I could share this knowledge and expertise so JF members can be aware.
All the best
 
Sina nia ya kukuharibia biashara ila nataka kukusaidia uuze haraka,
Ushauri wangu bei iko juu ya market price ya gari yenyewe.
Nissan X-Trail ukinunua toka Japan ni kati ya $2300 hadi $2500 kwa mwaka huo na hata mwaka 2004 ambazo zina sifa ya kuwa na leather seats na gear knob yake ni tofauti na older versions.
Gharama ya TT ni about 59$ that makes a maximum total of 2600$ hiyo ni CIF with inspection ukizidisha kwa prevailing exchange rate unapata jibu.
Ushuru wa hiyo gari ni less than 4.5mil tzs
Gharama nyingine ni;
Delivery order about 200,000tzs
Wharfage + port charges about 400,000tzs
Agency fees about 250,000tzs
Plate number about 30,000tzs
Bima ndogo ni 118,000tzs
Jumla kuu ni kama mil 11,361,000tzs kwa gari ya mwaka 2004 na yenye mileage below 100k kms
Back to the point utaona umeweka bei juu sana.
Kuhusu ubora wa gari ni nzuri inataka kuzingatia service ya uhakika na huwa haitaki kuoshwa engine ukifanya hivyo mara kwa mara itaathiri kompyuta yake na kuwasha taa ya check engine na nyinginezo so ushauri puliza na pressure air na kufuta tu engine.
Kuhusu fuel consumption kuwa makini na selection ya 4wd au AWD ikiwa kwenye auto au kwenye 4wd lazima consumption ya mafuta itakuwa juu hasa ikiwa automatic kwa vile inajichagulia gear so kama kwenye foleni inakuwa gear kubwa i.e 1 au 2 halafu iko 4wd halafu unatumia AC lazima itacucost.
Otherwise ni gari nzuri sana rekebisha bei iwe within market price utauza tu.
I stand to be corrected but I thought I could share this knowledge and expertise so JF members can be aware.
All the best
Mimi nina gari aina ya gx100 Toyota cresta. Tatizo ni kwamba coil za kwenye plug zinaharibika mara kwa mara. Hali hii inasababisha gari kwa na miss za mara kwa mara na gari kukosa nguvu. Aina ya engine ni vvti beam. Namba ushauri wako
 
Mimi nina gari aina ya gx100 Toyota cresta. Tatizo ni kwamba coil za kwenye plug zinaharibika mara kwa mara. Hali hii inasababisha gari kwa na miss za mara kwa mara na gari kukosa nguvu. Aina ya engine ni vvti beam. Namba ushauri wako
Hey Punky,
Beams ni moja ya engine nzuri sana kama utazingatia maintenance yake, tunaona gari zenye beams vvti yaani 1G-FE vvti engine (1980cc) kama cresta, mark ii, altezza na chaser zinakuwa ziko poa sana hasa kwenye nguvu na matumizi ya mafuta as opposed to 1G kavu (ambayo si vvti).
Tatizo la kuharibu coil za plug mara kwa mara linatokana na source inayocontrol umeme wa kwenda kuchoma plug yaani ECU au Control Box na muda mwingine hivi kama vinahitaji kubadilishwa huenda sambamba na Immobilizer kama gari ina security sytem inayotumia sensor ya funguo kuwaka.
Kwa Cresta nakushauri umuone mtaalamu wa diagnosis na electronics kwaajili ya kuipima hiyo control box kama iko sawa, huenda imeingia maji ikaunganisha njia na zinafanya short circuit inayofanya hizo coil kuharibika mara kwa mara.
Kukosa nguvu kwa gari ni matokeo ya plug chache kuchoma na hiyo control box kutopeleka info za kuiwezesha kupata nguvu sawa kwaajili ya kuiprotect engine kwa damage nyingine. Kwa engine hiyo yenye cylinder 6 inatakiwa plug zote zichome kwa usahihi ili kubalance mafuta na kuipa nguvu inayotakiwa.
Ushauri anza na source i.e control box then change hizo coil halafu malizia na kuweka plug original nafikiri itasaidia
Najua siwezi kuwa sahihi 100%
 
Hey Punky,
Beams ni moja ya engine nzuri sana kama utazingatia maintenance yake, tunaona gari zenye beams vvti yaani 1G-FE vvti engine (1980cc) kama cresta, mark ii, altezza na chaser zinakuwa ziko poa sana hasa kwenye nguvu na matumizi ya mafuta as opposed to 1G kavu (ambayo si vvti).
Tatizo la kuharibu coil za plug mara kwa mara linatokana na source inayocontrol umeme wa kwenda kuchoma plug yaani ECU au Control Box na muda mwingine hivi kama vinahitaji kubadilishwa huenda sambamba na Immobilizer kama gari ina security sytem inayotumia sensor ya funguo kuwaka.
Kwa Cresta nakushauri umuone mtaalamu wa diagnosis na electronics kwaajili ya kuipima hiyo control box kama iko sawa, huenda imeingia maji ikaunganisha njia na zinafanya short circuit inayofanya hizo coil kuharibika mara kwa mara.
Kukosa nguvu kwa gari ni matokeo ya plug chache kuchoma na hiyo control box kutopeleka info za kuiwezesha kupata nguvu sawa kwaajili ya kuiprotect engine kwa damage nyingine. Kwa engine hiyo yenye cylinder 6 inatakiwa plug zote zichome kwa usahihi ili kubalance mafuta na kuipa nguvu inayotakiwa.
Ushauri anza na source i.e control box then change hizo coil halafu malizia na kuweka plug original nafikiri itasaidia
Najua siwezi kuwa sahihi 100%
Asante sana, kesho tu naanza kuchukua hatua.
 
fanya m 8 bei yake mujini maana kitu cha 2003 ndo bei zake kaka, kama poa mazungumzo nakaribisha
 
Hey Punky,
Beams ni moja ya engine nzuri sana kama utazingatia maintenance yake, tunaona gari zenye beams vvti yaani 1G-FE vvti engine (1980cc) kama cresta, mark ii, altezza na chaser zinakuwa ziko poa sana hasa kwenye nguvu na matumizi ya mafuta as opposed to 1G kavu (ambayo si vvti).
Tatizo la kuharibu coil za plug mara kwa mara linatokana na source inayocontrol umeme wa kwenda kuchoma plug yaani ECU au Control Box na muda mwingine hivi kama vinahitaji kubadilishwa huenda sambamba na Immobilizer kama gari ina security sytem inayotumia sensor ya funguo kuwaka.
Kwa Cresta nakushauri umuone mtaalamu wa diagnosis na electronics kwaajili ya kuipima hiyo control box kama iko sawa, huenda imeingia maji ikaunganisha njia na zinafanya short circuit inayofanya hizo coil kuharibika mara kwa mara.
Kukosa nguvu kwa gari ni matokeo ya plug chache kuchoma na hiyo control box kutopeleka info za kuiwezesha kupata nguvu sawa kwaajili ya kuiprotect engine kwa damage nyingine. Kwa engine hiyo yenye cylinder 6 inatakiwa plug zote zichome kwa usahihi ili kubalance mafuta na kuipa nguvu inayotakiwa.
Ushauri anza na source i.e control box then change hizo coil halafu malizia na kuweka plug original nafikiri itasaidia
Najua siwezi kuwa sahihi 100%
Ahsante mkuu kwa Maelezo mulwa kabisa
Bila shaka umetusaidia wengi
 
Hey Punky,
Beams ni moja ya engine nzuri sana kama utazingatia maintenance yake, tunaona gari zenye beams vvti yaani 1G-FE vvti engine (1980cc) kama cresta, mark ii, altezza na chaser zinakuwa ziko poa sana hasa kwenye nguvu na matumizi ya mafuta as opposed to 1G kavu (ambayo si vvti).
Tatizo la kuharibu coil za plug mara kwa mara linatokana na source inayocontrol umeme wa kwenda kuchoma plug yaani ECU au Control Box na muda mwingine hivi kama vinahitaji kubadilishwa huenda sambamba na Immobilizer kama gari ina security sytem inayotumia sensor ya funguo kuwaka.
Kwa Cresta nakushauri umuone mtaalamu wa diagnosis na electronics kwaajili ya kuipima hiyo control box kama iko sawa, huenda imeingia maji ikaunganisha njia na zinafanya short circuit inayofanya hizo coil kuharibika mara kwa mara.
Kukosa nguvu kwa gari ni matokeo ya plug chache kuchoma na hiyo control box kutopeleka info za kuiwezesha kupata nguvu sawa kwaajili ya kuiprotect engine kwa damage nyingine. Kwa engine hiyo yenye cylinder 6 inatakiwa plug zote zichome kwa usahihi ili kubalance mafuta na kuipa nguvu inayotakiwa.
Ushauri anza na source i.e control box then change hizo coil halafu malizia na kuweka plug original nafikiri itasaidia
Najua siwezi kuwa sahihi 100%
Thanx
 
Hey Punky,
Beams ni moja ya engine nzuri sana kama utazingatia maintenance yake, tunaona gari zenye beams vvti yaani 1G-FE vvti engine (1980cc) kama cresta, mark ii, altezza na chaser zinakuwa ziko poa sana hasa kwenye nguvu na matumizi ya mafuta as opposed to 1G kavu (ambayo si vvti).
Tatizo la kuharibu coil za plug mara kwa mara linatokana na source inayocontrol umeme wa kwenda kuchoma plug yaani ECU au Control Box na muda mwingine hivi kama vinahitaji kubadilishwa huenda sambamba na Immobilizer kama gari ina security sytem inayotumia sensor ya funguo kuwaka.
Kwa Cresta nakushauri umuone mtaalamu wa diagnosis na electronics kwaajili ya kuipima hiyo control box kama iko sawa, huenda imeingia maji ikaunganisha njia na zinafanya short circuit inayofanya hizo coil kuharibika mara kwa mara.
Kukosa nguvu kwa gari ni matokeo ya plug chache kuchoma na hiyo control box kutopeleka info za kuiwezesha kupata nguvu sawa kwaajili ya kuiprotect engine kwa damage nyingine. Kwa engine hiyo yenye cylinder 6 inatakiwa plug zote zichome kwa usahihi ili kubalance mafuta na kuipa nguvu inayotakiwa.
Ushauri anza na source i.e control box then change hizo coil halafu malizia na kuweka plug original nafikiri itasaidia
Najua siwezi kuwa sahihi 100%
Habari mkuu
Vipi kuhusu Nissan Murano
 
Sina nia ya kukuharibia biashara ila nataka kukusaidia uuze haraka,
Ushauri wangu bei iko juu ya market price ya gari yenyewe.
Nissan X-Trail ukinunua toka Japan ni kati ya $2300 hadi $2500 kwa mwaka huo na hata mwaka 2004 ambazo zina sifa ya kuwa na leather seats na gear knob yake ni tofauti na older versions.
Gharama ya TT ni about 59$ that makes a maximum total of 2600$ hiyo ni CIF with inspection ukizidisha kwa prevailing exchange rate unapata jibu.
Ushuru wa hiyo gari ni less than 4.5mil tzs
Gharama nyingine ni;
Delivery order about 200,000tzs
Wharfage + port charges about 400,000tzs
Agency fees about 250,000tzs
Plate number about 30,000tzs
Bima ndogo ni 118,000tzs
Jumla kuu ni kama mil 11,361,000tzs kwa gari ya mwaka 2004 na yenye mileage below 100k kms
Back to the point utaona umeweka bei juu sana.
Kuhusu ubora wa gari ni nzuri inataka kuzingatia service ya uhakika na huwa haitaki kuoshwa engine ukifanya hivyo mara kwa mara itaathiri kompyuta yake na kuwasha taa ya check engine na nyinginezo so ushauri puliza na pressure air na kufuta tu engine.
Kuhusu fuel consumption kuwa makini na selection ya 4wd au AWD ikiwa kwenye auto au kwenye 4wd lazima consumption ya mafuta itakuwa juu hasa ikiwa automatic kwa vile inajichagulia gear so kama kwenye foleni inakuwa gear kubwa i.e 1 au 2 halafu iko 4wd halafu unatumia AC lazima itacucost.
Otherwise ni gari nzuri sana rekebisha bei iwe within market price utauza tu.
I stand to be corrected but I thought I could share this knowledge and expertise so JF members can be aware.
All the best
mkuu hongera Sana kwa mchanganuo murua
 
Back
Top Bottom