Car4Sale Gari linauzwa Toyota Sprinter

Car4Sale Gari linauzwa Toyota Sprinter

Hahaha, safi sana.

Mimi nataka kununua gari ili niwe naenda nalo kijiweni kucheza draft huku nimeshika funguo.
Ulivyo kibonde utafungwa mpaka urudi home kwa miguu gari utalisahau kijiweni
 
Itakuwa imepiga sana ruti za kemondo bukoba
Bila kusahau vile vilima vya
-Bukoba-ihungo via machinjioni/nshambya
-Bukoba-rugambwa via nyajanyasi/custom
-Bukoba-hamgembe kuelekea kagondo b/katerero na kenondo bay

Huko kote ilikuwa inamtembeza mzee Rutashobya, binamu yake mzee Basinda anayeishi nyuma ya ghorofa ya binamu yangu Rweikiza akija kugawa hela.

Infact imetembeamo, ndio maana muhuzaji yagamba 'inatembea' om-first paragraph ya kwanza.

Bojo,ko murayenda, ni kazuri kubebea nsenene pale soko kuu ambapo mjomba wangu Rwegoshora ndiye mwenyekiti wa soko.

Vile vile bhibhi yangu Kokushubira atakuwa anakupa tenda ya kuwafuta wajukuu wake pale Bukoba airport wakija likizo kutoka Uingereza.

Nimevaa viatu vya dalali kutoka Bukoba
 
Back
Top Bottom