Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,067
- 10,393
Dah.....wewe utakuwa Muisrael...🤣🤣🤣🤣Safi sana watu mmeumbwa na miguu ili mtembee mnaendekeza anasa kwa kutumia magari na vyombo vungine vya moto.
Acha yaungue tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.....wewe utakuwa Muisrael...🤣🤣🤣🤣Safi sana watu mmeumbwa na miguu ili mtembee mnaendekeza anasa kwa kutumia magari na vyombo vungine vya moto.
Acha yaungue tu
Atulie nini, ushaelewa gari ndogo binafsi linawaka moto, sehemu Tegeta Kibaoni, sasa unataka atulie nn.? Aandike vizuri kwani una sahihisha mtihani? Si ujumbe umepata, nyie watu vichwa mmebeba mzigo sanaMkuu ungetulia ukaandika vzr tafadhari,Unaandika haraka haraka kama unakimbizwa na Panya Road!!Ni gari ya Abiria au gari binafsi???
Bima inalipa mechanical issues?utakuwa ni mchongo wa kupata fidia ya Bima kubwa
Taarifa umeiwakirisha vizuri mkuu, sio wote wanaweza kutoa taarifa za papo kwa papoGari ndogo binafsi inatekea kwa moto barabani Bagamoyo road karibu na kituo cha basi cha Azania.
View attachment 2365027
Dualis ya German kwani?Dualis hio
Nissan ni viberiti vinavyotembeaDualis ya German kwani?
Gari chache sana hulipa premium... Wengi ni third partyInsurance italipa