Gari linawaka moto muda huu Tegeta Kibaoni

Mkuu ungetulia ukaandika vzr tafadhari,Unaandika haraka haraka kama unakimbizwa na Panya Road!!Ni gari ya Abiria au gari binafsi???
Atulie nini, ushaelewa gari ndogo binafsi linawaka moto, sehemu Tegeta Kibaoni, sasa unataka atulie nn.? Aandike vizuri kwani una sahihisha mtihani? Si ujumbe umepata, nyie watu vichwa mmebeba mzigo sana
 
Hivi tule tumitungi twa kuzimia moto wa magari madogo huwa ni bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…