Gari lipi linafaa mazingira haya

Political Engineer2

Senior Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
149
Reaction score
117
Wakuu salaam.

Gari lipi linafaa kwa safari za hapa mjini,kutoka king'azi shule hadi posta kila siku.

Bajeti yangu ni 9mil na nategemea kuliendesha kwa maisha ya mshahara sina chanzo kingine.naomba unishauri kwa kuzingatia km per litr

Naomba pia anayejua ni km ngapi kutoka town hadi king'azi shule kule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…