Gari ngumu na imara inayoweza kuvumilia shida

Gari ngumu na imara inayoweza kuvumilia shida

sleee

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2022
Posts
212
Reaction score
306
Habar zenu Wadau[emoji8]

I hope mpo pouwah na Mnaendelea na Majukumu Ya Ujenzi wa Taifa Letu.

Nina ombi moja hapa.

Kuna ndugu yangu yupo Arusha anahitaj gar ya kutembelea na Bajet yake ni 7.5m -8M.
Sasa Kwakuwa hayajui Magari Vyema na kasema anataka kununua Used hapa Bongo tena gar ngumu kwa Bajet ya 7.5 - 8M ili akae nayo muda mrefu.

Umbal kutoka kwake mpk kazin ni km 17 (hapo kuna angalau 3 km rough road)

Nikamshaur gar hizi.
A) Rav 4 Killtime- ( 2004-2005)
B) Suzuk Grand
C) Maoni yenu

Note: Hatak shortmin /Kipisi na anapenda yenye muonekano mzur siyo sura ngumu kama Rav4 Old

Km unajua mtu ambae labda anauza gar hizo kwa bajet hiyo nisaidie pls[emoji120][emoji120][emoji120] itapendeza km zitakuwa Arusha...
 
Habar zenu Wadau[emoji8]

I hope mpo pouwah na Mnaendelea na Majukumu Ya Ujenzi wa Taifa Letu...
Akatafute brevis ila asiibanie service. Na mwambie hakuna gari ngumu kama hataihudumia.

Na kama anachagua show nzuri aongeze mfuko asitake kizuri kwa hela za madafu
 
Achukue Carina Ti Roho ya paka kwa hela hyo anaweza pata nzuri kidgo.

au Achukue raum
images.jpeg.jpg
 
Habar zenu Wadau[emoji8]

I hope mpo pouwah na Mnaendelea na Majukumu Ya Ujenzi wa Taifa Letu.

Nina ombi moja hapa.

Kuna ndugu yangu yupo Arusha anahitaj gar ya kutembelea na Bajet yake ni 7.5m -8M.
Sasa Kwakuwa hayajui Magari Vyema na kasema anataka kununua Used hapa Bongo tena gar ngumu kwa Bajet ya 7.5 - 8M ili akae nayo muda mrefu.
Umbal kutoka kwake mpk kazin ni km 17 (hapo kuna angalau 3 km rough road)

Nikamshaur gar hizi.
A) Rav 4 Killtime- ( 2004-2005)
B) Suzuk Grand
C) Maoni yenu

Note: Hatak shortmin /Kipisi na anapenda yenye muonekano mzur siyo sura ngumu kama Rav4 Old

Km unajua mtu ambae labda anauza gar hizo kwa bajet hiyo nisaidie pls[emoji120][emoji120][emoji120] itapendeza km zitakuwa Arusha...
Kwamba hauna hela ya mafuta na services yenyewe inatamba tu?
 
Huwezi kupata gari nzuri kwa fedha ndogo namna hii pamoja na masharti kibao pambana angalau ifike Mil.22,000,000 upate gari nzuri aina ya Subaru Forester.
 
Habar zenu Wadau[emoji8]

I hope mpo pouwah na Mnaendelea na Majukumu Ya Ujenzi wa Taifa Letu.

Nina ombi moja hapa.

Kuna ndugu yangu yupo Arusha anahitaj gar ya kutembelea na Bajet yake ni 7.5m -8M.
Sasa Kwakuwa hayajui Magari Vyema na kasema anataka kununua Used hapa Bongo tena gar ngumu kwa Bajet ya 7.5 - 8M ili akae nayo muda mrefu.

Umbal kutoka kwake mpk kazin ni km 17 (hapo kuna angalau 3 km rough road)

Nikamshaur gar hizi.
A) Rav 4 Killtime- ( 2004-2005)
B) Suzuk Grand
C) Maoni yenu

Note: Hatak shortmin /Kipisi na anapenda yenye muonekano mzur siyo sura ngumu kama Rav4 Old

Km unajua mtu ambae labda anauza gar hizo kwa bajet hiyo nisaidie pls[emoji120][emoji120][emoji120] itapendeza km zitakuwa Arusha...

Kwa bei hii hapati gari hizo alizozitaja, labda auziwe bodi tu.
 
Habar zenu Wadau[emoji8]

I hope mpo pouwah na Mnaendelea na Majukumu Ya Ujenzi wa Taifa Letu.

Nina ombi moja hapa.

Kuna ndugu yangu yupo Arusha anahitaj gar ya kutembelea na Bajet yake ni 7.5m -8M.
Sasa Kwakuwa hayajui Magari Vyema na kasema anataka kununua Used hapa Bongo tena gar ngumu kwa Bajet ya 7.5 - 8M ili akae nayo muda mrefu.

Umbal kutoka kwake mpk kazin ni km 17 (hapo kuna angalau 3 km rough road)

Nikamshaur gar hizi.
A) Rav 4 Killtime- ( 2004-2005)
B) Suzuk Grand
C) Maoni yenu

Note: Hatak shortmin /Kipisi na anapenda yenye muonekano mzur siyo sura ngumu kama Rav4 Old

Km unajua mtu ambae labda anauza gar hizo kwa bajet hiyo nisaidie pls[emoji120][emoji120][emoji120] itapendeza km zitakuwa Arusha...
Tractor.
 
Back
Top Bottom