Gari ngumu na imara inayoweza kuvumilia shida

Gari ngumu na imara inayoweza kuvumilia shida

labda bedford za zamani sana
Sasa gari imeshafikia ukomo Japan, we unaichukua na kuitumia miaka 10. Nini zaidi unataka zaidi ya hicho?

90% ya watanzania wananua used, ambapo sisi tuna-term kuwa bora kama umeichukua moja kwa moja kutoka Japan n.k

Kwa kusema hayo, gari zote zinazotumika hapa TZ ni bora na imara sana.
 
1683911591293.png

Kula chuma hiyo.
 
Wabongo bhaana... Kwahiyo gari ngumu ndio ya aina gani...?
Anyways ajikamue afike 10m atafute kwa mtu aliyetunza Subaru Forester ya 2002-2003... (Najua watu wasio zijua Subaru watakutisha kuhusu spear na mafuta)
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Hana hela huyo. Kwa hio pesa na kwa masharti yake mengiii atapata bodi tu bila engine wala gearbox. Gari ya juu used kama rav 4 ni 9 mpaka 12m gari yenye gearbox safi engine safi service nzuri. Kwa hela hio achukue raum new model used au ist used
 
Hivi kweli ndugu yangu gari yenyewe ni ya milioni 7 unahitaji gari nzuri na ngumu hupati n'goo fanya ujasiriamali kwanza kwa hiyo fedha ndipo baadaye sana.
 
Hana hela huyo. Kwa hio pesa na kwa masharti yake mengiii atapata bodi tu bila engine wala gearbox. Gari ya juu used kama rav 4 ni 9 mpaka 12m gari yenye gearbox safi engine safi service nzuri. Kwa hela hio achukue raum new model used au ist used
Umeonae halafu ana lugha ya dharau na kejeli ni kumsamehe bure.
 
Hakuna gari iliyoundiwa shida , hufanyi service itakulaza njiani hata hyo Bedford ina limit zake , tafuta TI au Corola limited utafurahi , 8M ni pesa nyingi ila kwa gari zuri na la kisasa utaiziwa mkweche
Kwa hyo pesa
Vitz used
Ist used
Raum used
Fancargo
Suzuki swift
Brevis
Mark X
GX 100
Extrail
Murano
Used utapata gari ni matunzo dugu yangu , ukitaka uwe na namba za mafundi gari ipe shida
 
Back
Top Bottom