OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Naombeni ushauri.
Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo ambayo hata kwenye rough road haitonisumbua kuchanja mbuga.
Nawasilisha kwenu.
Ninahitaji gari ya 25M lakini napendelea gari nzuri na iwe nzito barabarani inayotulia isihame, maana nilizoea magari mazito ya chini ila sasa hivi nahitaji gari la juu kidogo ambayo hata kwenye rough road haitonisumbua kuchanja mbuga.
Nawasilisha kwenu.