Gari nzuri ya CC chini ya 1500 budget 14m-18m

Gari nzuri ya CC chini ya 1500 budget 14m-18m

Natumaini wanajamvi wote ni wazima.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa siku za usoni natamani na mimi nipate usafari kwa ajili ya matumiz ya familia na mishe za hapa na pale ruti ndefu mara chache sana 1 au 2 kwa mwaka.

Nimejaribu kupitia aina mbali mbali za magari hadi sasa inayonivutia ni premio 2008. Naomba msaada wa mawazo zaidi kuhusiana na hili maana sina uzoefu sana wa hili hata kama ni aina nyingine nipo tayari kupokea mawazo yenu wanajamvi.

Kikubwa nachoangalia ni hy cc maana ikiwa chini ya 1500 najua consumption ya mafuta itakua chini sasa sinajua ipi ni imara kwa mazingira yetu japo naona IST, raum na spacio naoma zipo nyingi sana.

Naomba mwenye msada wa mawazo kwenye hili maana maintenance ni muhimu sana hivyo naangalia ambayo haitanisumbua.

Asante
Gari ya chini ya hizo cc ni passo, vits, porte, funcargo,ist na starlet!

Sasa sijajua unapenda ipi kati ya hizi
 
Nakushauri chukua spacio new model ila jitahidi iwe normal,, yaani isiwe na fender chini namaanisha maplastic yaloongezwa Kama urembo mbele nyuma na ubavuni utaipenda kwa mafuta na hata kwa meendo pia ni comfortable kwako na familia.
 
Hapana bana....
Mbona mchepuko wangu (mume wangu anajuaga ni cousin wangu) anayo mwaka sijui wa nne huu sijaona akilalamika chochote.
Hili ni dume linajilegeza utaliwa matacle.

Ushauri wa dualis umempa mzuri hasa kwenye engine size na budget nadhani aongeze kidogo atapata dualis safi.
 
Natumaini wanajamvi wote ni wazima.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa siku za usoni natamani na mimi nipate usafari kwa ajili ya matumiz ya familia na mishe za hapa na pale ruti ndefu mara chache sana 1 au 2 kwa mwaka.

Nimejaribu kupitia aina mbali mbali za magari hadi sasa inayonivutia ni premio 2008. Naomba msaada wa mawazo zaidi kuhusiana na hili maana sina uzoefu sana wa hili hata kama ni aina nyingine nipo tayari kupokea mawazo yenu wanajamvi.

Kikubwa nachoangalia ni hy cc maana ikiwa chini ya 1500 najua consumption ya mafuta itakua chini sasa sinajua ipi ni imara kwa mazingira yetu japo naona IST, raum na spacio naoma zipo nyingi sana.

Naomba mwenye msada wa mawazo kwenye hili maana maintenance ni muhimu sana hivyo naangalia ambayo haitanisumbua.

Asante
TOYOTA SPACIO new model ndilo mkomboz wako
 
Hizi SUA nachowaza ndo hizo cc nisije nikashindea kuweka mafuta nimewaza chini ya 1500 kwa kua najua nitaweza kupambana service na mafuta

Unaweza ukapata cc 1500 shock up ukanununua laki 4 na oil yake ikawa 130,000, unaweza ukapata cc1800 shock up ikawa laki 2 na oil yake 60,000, so do not only think of fuel, kuna vingine!

Kuna nyingine cc ndogo, spare Zake mpaka Nairobi tu!
 
Natumaini wanajamvi wote ni wazima.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa siku za usoni natamani na mimi nipate usafari kwa ajili ya matumiz ya familia na mishe za hapa na pale ruti ndefu mara chache sana 1 au 2 kwa mwaka.

Nimejaribu kupitia aina mbali mbali za magari hadi sasa inayonivutia ni premio 2008. Naomba msaada wa mawazo zaidi kuhusiana na hili maana sina uzoefu sana wa hili hata kama ni aina nyingine nipo tayari kupokea mawazo yenu wanajamvi.

Kikubwa nachoangalia ni hy cc maana ikiwa chini ya 1500 najua consumption ya mafuta itakua chini sasa sinajua ipi ni imara kwa mazingira yetu japo naona IST, raum na spacio naoma zipo nyingi sana.

Naomba mwenye msada wa mawazo kwenye hili maana maintenance ni muhimu sana hivyo naangalia ambayo haitanisumbua.

Asante

Don't focus kwenye Cc za engine. Utaacha magari mazuri.

Kuna gari zina Cc zaidi 1500 na zinaweza kuwa zina consumption nzuri kuliko hata ambazo zipo chini kidogo ya hiyo Cc1500.

Labda useme hiyo gari utaitumia katika mazingira gani? Hali ya barabara? Traffic jam? Unahitaji ikupe Km ngapi kwa lita kwa mizunguko ya kawaida?

Tuanzie hapo.
 
Don't focus kwenye Cc za engine. Utaacha magari mazuri.

Kuna gari zina Cc zaidi 1500 na zinaweza kuwa zina consumption nzuri kuliko hata ambazo zipo chini kidogo ya hiyo Cc1500.

Labda useme hiyo gari utaitumia katika mazingira gani? Hali ya barabara? Traffic jam? Unahitaji ikupe Km ngapi kwa lita kwa mizunguko ya kawaida?

Tuanzie hapo.
I'm open minded kupokea mawazo mbadala kama mkuu ipo unaifaham ipo vizuri naomba nijuze maana mimi kidogo kwenye eneo hili ni mweupe
 
Natumaini wanajamvi wote ni wazima.

Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa siku za usoni natamani na mimi nipate usafari kwa ajili ya matumiz ya familia na mishe za hapa na pale ruti ndefu mara chache sana 1 au 2 kwa mwaka.

Nimejaribu kupitia aina mbali mbali za magari hadi sasa inayonivutia ni premio 2008. Naomba msaada wa mawazo zaidi kuhusiana na hili maana sina uzoefu sana wa hili hata kama ni aina nyingine nipo tayari kupokea mawazo yenu wanajamvi.

Kikubwa nachoangalia ni hy cc maana ikiwa chini ya 1500 najua consumption ya mafuta itakua chini sasa sinajua ipi ni imara kwa mazingira yetu japo naona IST, raum na spacio naoma zipo nyingi sana.

Naomba mwenye msada wa mawazo kwenye hili maana maintenance ni muhimu sana hivyo naangalia ambayo haitanisumbua.

Asante
toyota rush cc 1490, goes everywhere, drives 5 in comfort, manual or auto, within your budget. Need i say more?
 
Ni kweli, but gri ya cc chini ya 1500 nafikiri Lazima Ni saloon, then that budget ipo Juu kidogo!

Kwa nini usijisogeze a bit over 2000 mfano harrier Tako la na technology yake consumption na service Ni Rahisi?

Nashauri achana na salun car, go for suv, Ila for suv utapanda Juu kidogo cc Zake!
Hivi harrier zina 4WD?
 
Back
Top Bottom