MACHONDELA
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 940
- 1,573
Habari wakuu naomba msaada wenu,nakerwa sana
Gari yangu ni RunX huwa inatabia ya kujizima nikiwa barabaran,imenisababishia ajali mara moja na zingine nanusurika tu kwa maana gari hujizima nikiwa katika motion.
Nimejaribu kutafuta muafaka kwa sasa naelekea kukata tamaa, maana nimenunulishwa pump mpya bado tatizo lipo tu, mara naambiwa plug mara naambiwa umeme yaan shaghala baghala.
Naomba msaada wako au ushauri wa kitaalamu ili niepukane na keto hii maana kwa sasa Sina Raha kabisa na gari .
Gari yangu ni RunX huwa inatabia ya kujizima nikiwa barabaran,imenisababishia ajali mara moja na zingine nanusurika tu kwa maana gari hujizima nikiwa katika motion.
Nimejaribu kutafuta muafaka kwa sasa naelekea kukata tamaa, maana nimenunulishwa pump mpya bado tatizo lipo tu, mara naambiwa plug mara naambiwa umeme yaan shaghala baghala.
Naomba msaada wako au ushauri wa kitaalamu ili niepukane na keto hii maana kwa sasa Sina Raha kabisa na gari .