Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida.

Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida.

Attachment 333

Senior Member
Joined
Nov 4, 2024
Posts
103
Reaction score
53
Msaada Wadau,

Haka Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida na Nikiwasha AC ndio kabisa linatetemeka hadi Viti vinatataka kung'ola,


Mlio unatoka kwenye injini na ukiweka gear position ya parking kutetemeka kunapungua,

Niliipeleka kwa mafundi wa garage wakasema ni mountain gear moja imekufa, tumebadilisha baada ya siku moja tatizo limejirudia hadi nahisi wanaotaka tujenge SGR kila kitongoji, Mtaa wamerudi kwa kasi ya Ajabu.

Naomba msaada wandugu mwenye kujua tatizo ni nini!!

Aksante Sana.
 
Hela zina dharau - Nikizaliwa tena nitafungua Garage nijue maisha yakoje huko😂😂

fedhaa 1.jpeg
 
Hela zina dharau - Nikizaliwa tena nitafungua Garage nijue maisha yakoje huko😂😂 - Kamteja kanasumbuka

fedhaa 1.jpeg
 
Hela zina dharau - Nikizaliwa tena nitafungua Garage nijue maisha yakoje huko😂😂 - Kamteja kanasumbuka sijui nianzishe chuo cha Ujasiliamali!?

fedhaa 1.jpeg
 
Inawezekana ikawa gearbox ama engine mounting, ukipaki jaribu kuzichunguza mounting zoote za gearbox na engine.
Raha ya kumiliki Magari utajua teminoloji zoteeee... Humiliki gari Mounting utazijuaje!?😂😂😂😂😂

Hivi Tanzania wana Kiwanda cha Mounting!?
 
Wenyewe watu wa garage wanaita kiduku, ilinizinguaga
It's something to do with gear box
Sasa kuna Madhara Gani nikiendelea kuitumia Tumia😂😂😂 Maana daaaa gharama kumiliki magari naona niwakatishe tamaa vijana

fedhaa 1.jpeg
 
Msaada Wadau,

Haka Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida na Nikiwasha AC ndio kabisa linatetemeka hadi Viti vinatataka kung'ola,


Mlio unatoka kwenye injini na ukiweka gear position ya parking kutetemeka kunapungua,

Niliipeleka kwa mafundi wa garage wakasema ni mountain gear moja imekufa, tumebadilisha baada ya siku moja tatizo limejirudia hadi nahisi wanaotaka tujenge SGR kila kitongoji, Mtaa wamerudi kwa kasi ya Ajabu.

Naomba msaada wandugu mwenye kujua tatizo ni nini!!

Aksante Sana.
weka picha ya kagari nikaweke kabisa kwenye dustbin list ya vigari vya kutonunua.
Extrovert
 
Msaada Wadau,

Haka Gari RV4 lina tatizo la kutetema nikiwa nimesimama kwenye foleni au mataa au hata nikiwa nimesimama tu kawaida na Nikiwasha AC ndio kabisa linatetemeka hadi Viti vinatataka kung'ola,


Mlio unatoka kwenye injini na ukiweka gear position ya parking kutetemeka kunapungua,

Niliipeleka kwa mafundi wa garage wakasema ni mountain gear moja imekufa, tumebadilisha baada ya siku moja tatizo limejirudia hadi nahisi wanaotaka tujenge SGR kila kitongoji, Mtaa wamerudi kwa kasi ya Ajabu.

Naomba msaada wandugu mwenye kujua tatizo ni nini!!

Aksante Sana.
Matatizo ya tabia nchi
 
kwani gari yako ina engine gani? 1ZZ ama?
Raha ya kumiliki Magari utajua teminoloji zoteeee... Humiliki gari Mounting utazijuaje!?😂😂😂😂😂

Hivi Tanzania wana Kiwanda cha Mounting!?
 
SGR hadi kitandaniiiiii😂😂😂😂 ukishuka tu Dar Masaa 5

AAA.jpg
 
Back
Top Bottom