BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kwenye Funcargo ongezea na binamu zake Ractis na Sienta wanapendwa sana Burundi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magari ya wajapan hayo.. kule kwao wao wanaona unyama sana ...kulingana na maumbo yaoWakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.
Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.
1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?
View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.
2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.
3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..
Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
Aiseeee tupo wengi ambao hatuilewi hii gari....hii gari nachukia aiseMbona kama funcargo ipo vizuri kiasi.
Kuna hii toyota prius muonekano wake nao hasa wa production ya 2010 naona sio mzuri
View attachment 2982257
Vigari vina sura mbaya sijui walikuwa wawaza nini.Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.
Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.
1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?
View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.
2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.
3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..
Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
🤣🤣Kwa namna nilivo nyeshewa na mvua juzii, gari ni gari
hapa waliupiga mwingiWakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.
Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.
1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?
View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.
2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.
3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..
Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
nikununulie ?Hicho cha kwanza mi nimekipenda,
Probox, funcargo sienta na kampuni ya suzuki wana vigari vingi vya ajabu vingine vipo km bamia mfyyu
Umesahau FJ CruiserWakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.
Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.
1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?
View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.
2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.
3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..
Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
Nunua babanikununulie ?
HakikaKwa namna nilivo nyeshewa na mvua juzii, gari ni gari
Nipo sema jukwaa lina watoto wengi wa afumbili akili zao wanazijua wenyewe,😎 😀😀😀😀kitambo sana sijakuona humu nili kumisi sana
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😎😎😎😎 hichi achana nacho ngoja nikupe funguo za bmwNipo sema jukwaa lina watoto wengi wa afumbili akili zao wanazijua wenyewe,
kwahiyo ndo umeghairi kuninunulia hicho kidude?
Nataka hicho siri ya vigari vya hivyo huwa ni mafuta vinanusa tu na vinapendwa sana na wahindi😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😎😎😎😎 hichi achana nacho ngoja nikupe funguo za bmw