Gari tatu (3) za Toyota ambazo Design yake ilikua from Future

Gari tatu (3) za Toyota ambazo Design yake ilikua from Future

Kwenye Funcargo ongezea na binamu zake Ractis na Sienta wanapendwa sana Burundi.
 
Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.

Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.

1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?

View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.

2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.

3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..

Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
Magari ya wajapan hayo.. kule kwao wao wanaona unyama sana ...kulingana na maumbo yao
 
Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.

Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.

1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?

View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.

2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.

3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..

Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
Vigari vina sura mbaya sijui walikuwa wawaza nini.
 
Huyu alikuwa hataki majirani wapewe lifti.
OIP.jpeg
 
Mada zenu na extrovert Kiukweli me bado najitafuta sio kwamba sijafikiria kuwa gari ila Sina hela labda mwakani
 
Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.

Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.

1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?

View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.

2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.

3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..

Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
hapa waliupiga mwingi
 
Wakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.

Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.

1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?

View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.

2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.

3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..

Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
Umesahau FJ Cruiser
 
Nipo sema jukwaa lina watoto wengi wa afumbili akili zao wanazijua wenyewe,

kwahiyo ndo umeghairi kuninunulia hicho kidude?
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😎😎😎😎 hichi achana nacho ngoja nikupe funguo za bmw
 
Back
Top Bottom