Belta, Will vs zote, Toyota BB, Funcargo na Mirai model ya 2017 ni gari za hovyo sana kutoka Toyota sio kwa design bali kwa kila kitu.Macho yanatofautiana kila mtu na preference zake, hata belta huwa naona kimuonekano sio nzuri.
Kwanini mkuu au sio gari nzuri kwa soko la mazingira ya huku kwetu Afrika?Belta, Will vs zote, Toyota BB, Funcargo na Mirai model ya 2017 ni gari za hovyo sana kutoka Toyota sio kwa design bali kwa kila kitu.
😂 umenichekesha sana dah. Muonekano wake nao sio wa kuvutia, hili lizuri kwa wazeeEeh hii gari zuri ila liko na outdated styling. Ni kama chura kimbofa
Kweli bora ile, hii ndio mbaya kabisa.Worst prius ni ya 2017-2020 ile design ni ya hovyo mno bora hata hio unayosema mbaya.
View attachment 2983632View attachment 2983633
Hiyo Toyota Will VI ni mbaya mnoo labda ndio maana hata mtaani sijawahi kuzionaWakuu, naamini wengi Gari inakuvutia kwanza muonekano, then ndio unaanza kufuatilia kujua engine, fuel consumption, spare etc hadi unaamua kuinunua.
Sasa kuna gari apa naona kabisa zilikua designed na aliens. Yaani sio za generation hii kabisa.
1. Toyota Will VI
Hili gari nikiliona uwa najiuliza aliedesign alikua inspired na nini? Yaan kabisa kaamka anaenda kila siku Toyota kudesign gari ndio akaja na hii idea.
View attachment 2982251
Na alienunua nae alikua anawaza nini? Mbona gari za bei hiyo zipo nyingi tu kwann asiangalie kwingine?
View attachment 2982252
Tatizo ata ndani nako bado kamekaa kiajabu ajabu.
2. Funcargo
Nadhani aliedesign Will VI ndio uyu uyu wakampa na hio tenda.
View attachment 2982253View attachment 2982254
Dah.
3. Toyota Platz
Hii uwa nashindwa niite sedan au crossover. Yaani hakajakaa unyama kabisa.
View attachment 2982255
Aisee bora kwa mbele uku nyuma kamejibinua sana aisee..
Hope hamna ataejisikia offended. Maisha magumu tusiwe serious sana.
Unakapenda?[emoji91][emoji91][emoji91]
Kwako labda kwangu hapanaHii mbona iko [emoji91][emoji91][emoji91]
Zipo ila chache sana.Hiyo Toyota Will VI ni mbaya mnoo labda ndio maana hata mtaani sijawahi kuziona
YessUnakapenda?
Au nasema uongo ndugu zangu!?😂 umenichekesha sana dah. Muonekano wake nao sio wa kuvutia, hili lizuri kwa wazee
😂 sikupingi mkuu