Gari: Toyota Raum

Gari: Toyota Raum

Kimsingi sina expirience na sienta ila kimoja ninachojua ni family car nzuri coz in space ya kutosha na ni economical kwenye fuel but I have never been lucky to drive/use one

Ahsante sana ndg. Kweli unachokisema.

Leo nimefanya review yake ina CC 1496 hadi 1500, 7 passangers, 5 doors, Engine VVT-i, Fuel consumption 14 to 19 km per litre, nyingi ni 2WD japo inasadikika na 4WD zipo. Pia milango yake ni Electronically driven.

Mapungufu yake wanasema ni Lack of interior gadgets, Rear shape, na Spare zake bado upatikanaji wake ni washida Afrika Mashariki. Mf. Taa kubwa zake za mbele na nyuma.

Ni magari maarufu sana nchini Kenya na Uganda.
 
kwanza natanguliza samahani kama hapa sio mahali sahihi kwa hii Post yangu, mimi ni kijana mwenzenu nataka kununua gari, na katika kupitita pitia kwenye mitandao nimekutana na aina hii ya gari TOYOTA RAUM, na nimeipenda na na nataka kuinunua, ila kabda sijafanya hivyo naomba nipate ushauri kutoka kwenu
Hivi nyie mnaokimbilia vigari sijui RAUM,PORTE,PROBOX,VITS, PASSO, IST,n.k ni kwamba magari ya kiume kama V8, PRADO, HARRIER, RANGE mnakuwa hamuyaoni au ndo kusemaje!!!!!!!!!!?????? yaani mtoto wa kiume hata haibu huna unazichangachanga ili ununue kigari hata vyura wawili tu wakikaa hawaenei
 
Hivi nyie mnaokimbilia vigari sijui RAUM,PORTE,PROBOX,VITS, PASSO, IST,n.k ni kwamba magari ya kiume kama V8, PRADO, HARRIER, RANGE mnakuwa hamuyaoni au ndo kusemaje!!!!!!!!!!?????? yaani mtoto wa kiume hata haibu huna unazichangachanga ili ununue kigari hata vyura wawili tu wakikaa hawaenei

yaani we we unasema hivyo wakati hata godoro huna!!
 
yaani we we unasema hivyo wakati hata godoro huna!!
Ningekuwa mmoja wenu nyie mnaokimbilia vigari kwa hela za vimishahara na mikopo, ningekuwa namiliki showroom ya hvi vigari vyenu. Chukua hiyo hela kainvest mwisho wa siku ununue gari za jinsia ya kiume siyo hvi vigari vya bati.

ANGALIZO; Mwanaume kuendesha hvi vigari ni kuaibisha wanaume wenzio
 
mkuu Hivi raum Old model Nazo zinaibiwa taa na vijana wa gerezani Vp upatikanaji Wake wa spare?

Wizi wa vitu vya magari hauchagui umaarufu wa gari, mara nyingi kama gari limewekwa katika mazingira ya kuibiwa kirahisi wanaiba au kama kuna mtu aliwahi kuibiwa kifaa kama hicho akaagiza watafutiwe.

Spea ya Raum new model ni rahisi kupatikana kwasababu ni corolla boss
 
Spacio ni nyepesi sana kwenye acceleration kuliko Raum, and its more comfortable. mimi siiipendi kwasababu naona kama ipo delicate sana.

Spacio zina engine capacity tofauti kuna 1450(1500) na 1750 (1800) so ulaji wa mafuta ni tofauti hiyo ya 1450(1500) inakula sawa na raum tu.

Katika driving spacio ni more confortable than Raum.

my comfortability rates kwa gari ndogo nilizo wahi kutumia

1. corolla runx au Allex.
2. IST
3. Spacio new model
4. Raum
Spacio new model cc 1800 ulaji wa wese upoje na vipi bei zake kwenye yard za hapa Dar
 
Raum old model ni mashine sana, hizi zinafanana na corola 110 na rav4 old model, raum new model ni mayai kidogo bati lile, general kama mtumiaji unafanyia service you will never regret mkuu, nakushauri daka raum.
 
Jamani chukuni Passo yenye piston 4 hauutajutia pesaa yako
 
ha ha ha juzi wameng'oa ule urembo wa kwenye milango kama mkanda wa gari yangu na ilikua na viribiti vya kutosha.

halafu baba taa ya nyuma na bamper huwezi weka ribiti. halafu side mirror nilisahau kutaja huwa wanang'oa jumla hawatoi kile cha ndani tena wanatoa gari inabaki kama paka aliyekatwa masikio.
[emoji23][emoji23]paka aliekatwa sikio duuh umenichekeshaa
 
Back
Top Bottom