Kimsingi sina expirience na sienta ila kimoja ninachojua ni family car nzuri coz in space ya kutosha na ni economical kwenye fuel but I have never been lucky to drive/use one
Hivi nyie mnaokimbilia vigari sijui RAUM,PORTE,PROBOX,VITS, PASSO, IST,n.k ni kwamba magari ya kiume kama V8, PRADO, HARRIER, RANGE mnakuwa hamuyaoni au ndo kusemaje!!!!!!!!!!?????? yaani mtoto wa kiume hata haibu huna unazichangachanga ili ununue kigari hata vyura wawili tu wakikaa hawaeneikwanza natanguliza samahani kama hapa sio mahali sahihi kwa hii Post yangu, mimi ni kijana mwenzenu nataka kununua gari, na katika kupitita pitia kwenye mitandao nimekutana na aina hii ya gari TOYOTA RAUM, na nimeipenda na na nataka kuinunua, ila kabda sijafanya hivyo naomba nipate ushauri kutoka kwenu
Hivi nyie mnaokimbilia vigari sijui RAUM,PORTE,PROBOX,VITS, PASSO, IST,n.k ni kwamba magari ya kiume kama V8, PRADO, HARRIER, RANGE mnakuwa hamuyaoni au ndo kusemaje!!!!!!!!!!?????? yaani mtoto wa kiume hata haibu huna unazichangachanga ili ununue kigari hata vyura wawili tu wakikaa hawaenei
Ningekuwa mmoja wenu nyie mnaokimbilia vigari kwa hela za vimishahara na mikopo, ningekuwa namiliki showroom ya hvi vigari vyenu. Chukua hiyo hela kainvest mwisho wa siku ununue gari za jinsia ya kiume siyo hvi vigari vya bati.yaani we we unasema hivyo wakati hata godoro huna!!
Mwenye passo tuwasiliane,cash ipo0715378899
Allex vp wakuu?
poa mkuu nitakupigia.
POA= passo owners association
Mkuu hivi hizi Raum model zote nina milango kama ya hiace?
yes boss milango yake ni ya ku slide.
mkuu Hivi raum Old model Nazo zinaibiwa taa na vijana wa gerezani Vp upatikanaji Wake wa spare?yes boss milango yake ni ya ku slide.
Hahaaa!ngoma hainusi bali inapuliza!!Chukua lendikruza new model hizo zinapuliza tu mafuta. Very economy.
Succed je?allex/run x shida yake spea zake bei iko juu kwa sababu bado hazijawa nyingi mtaani...ila ni gari nzuri sana tu
mkuu Hivi raum Old model Nazo zinaibiwa taa na vijana wa gerezani Vp upatikanaji Wake wa spare?
Spacio new model cc 1800 ulaji wa wese upoje na vipi bei zake kwenye yard za hapa DarSpacio ni nyepesi sana kwenye acceleration kuliko Raum, and its more comfortable. mimi siiipendi kwasababu naona kama ipo delicate sana.
Spacio zina engine capacity tofauti kuna 1450(1500) na 1750 (1800) so ulaji wa mafuta ni tofauti hiyo ya 1450(1500) inakula sawa na raum tu.
Katika driving spacio ni more confortable than Raum.
my comfortability rates kwa gari ndogo nilizo wahi kutumia
1. corolla runx au Allex.
2. IST
3. Spacio new model
4. Raum
[emoji23][emoji23]paka aliekatwa sikio duuh umenichekeshaaha ha ha juzi wameng'oa ule urembo wa kwenye milango kama mkanda wa gari yangu na ilikua na viribiti vya kutosha.
halafu baba taa ya nyuma na bamper huwezi weka ribiti. halafu side mirror nilisahau kutaja huwa wanang'oa jumla hawatoi kile cha ndani tena wanatoa gari inabaki kama paka aliyekatwa masikio.