Gari: Toyota Raum

Ushamba na magar ni tatizo pia
4w kirefu chake nn wakuu?? Na inakaz gan kwenye gar??
 
Hebu mtufafanulie,kwanini magari madogo si mazuri kama yana 4WD .............??
 
Ushamba na magar ni tatizo pia
4w kirefu chake nn wakuu?? Na inakaz gan kwenye gar??
Maana yake kuwa gari inaweza KUZUNGUUSHA TAIRI ZOTE 4 (4WD),na mara nyingi inatumika kwenye sehemu zenye matope, michanga au zinazofanana na hizo.
 
Sio kweli kuwa four wheel haifai kwa safari ndefu..
Four wheel ndio gari ya safari ndefu.
Kikwazo kinakuja kwamba watu hawajui namna ya kutumia four wheel.
Hawajui four wheel itumike wakati gani.
Mfano hizi gari ndogo hasa za petrol zenye four wheel huwa zitumia button,imeandikwa four wheel.hii huwa ipo ktk dadhboard.sasa huenda umeenda car wash muoshaji akaibonyeza wakati anafuta dash board in ji engage sasa wewe ukifika unapewa funguo na unatumia kidole kukwangua dashboard kama imeoshwa fresh bila hata ya kukagua kama buttons zote ziko sawa.kinachofuatia hapo ni kwamba utawasha gari na utaondoka.
Lazima gari ile mafuta.
Pili gari hizo hizo za petrol hasa za kisasa zaidi ambazo zina gear ambayo haiendi straight kama ya rav 4 old model,utakuta ktk derive D kuna gap,ile gear ikiwa ktk position hiyo hiyo ya drive kuna space unaweza gonga hiyo gear kuja kwa paja lako.hapo umeruhusu tairi zote nne kushika chini.ni form ya fourwheel pia na itabadili muungurumo na itakula mafuta sana.
So gari za foue wheel ni nzuri isipokuwa watu ndio hawajui matumizi sahihi,yaani wakati gani ui ngage four wheel drive.
 
Nimeagiza ka wish 4 wd kangu kanategemewa kufika tarehe 5 inshallah Nina hamu nacho maana nikiziona barabarani zatembea karoho kananiuma kweli kweli.sihitaji gari nyengine kwa sasa .nipo na kacorrona kangu kapremior nakauza kama wataka njoo nikupe ukatumie mdogo wangu tena nitakugaia tu mfano wake .ukinipa 3m tu nakupa,,,,
 
Mimi ni kijana mwenzenu nataka kununua gari, na katika kupitita pitia kwenye mitandao nimekutana na aina hii ya gari TOYOTA RAUM, na nimeipenda na na nataka kuinunua, ila kabda sijafanya hivyo naomba nipate ushauri kutoka kwenu.


Mimi natumia Raum New Model kwa mwaka mmoja sasa na sijawahi kujutia maamuzi yangu ya kununua gari hiyo!! Ni gari nzuri kwa maana ya Space,Comfortability na Ulaji wa mafuta ni wa kawaida sana!!!
Issue kwamba Mlango wake wa abiria ni kama wa daladala ni sala la mtazamo tu,kimsingi mimi hiyo ndiyo sababu mojawapo niliinunua kwamba hata kama nyumbani nafasi ya parking ni ndogo abiria wanaweza kushuka vizuri!!!

Kuhusu wizi wa spare zake siyo issue kwa sababu hata spare za boxer zinaibwa,wewe tu ukipark hovyo watu lazima wakuchape!!!!!
 
Acha dharau kijana.
Mtu anajikuna pale anapoweza kupashika.
Tambuwa siyo kila mtu anauwezo wakununua hayo Magar ya Kifahari but tatizo ni jinsi yakuweza kulihudumia hilo gari kuanzia Mafuta, Service na Spare zake!

Kununua gari siyo shida sana ila kulihudumia ndio changamoto!
Uchumi wenyewe hauko vizuri Eti nishobokee V 8, HARRIER, BENZ, n.k
 
Napenda sana Ipsum L hizi new model ila sijajuwa ulaji wake wa Mafuta.
Nilichochunguza nikuwa zinauwezo wakupakia Watu 10 kwakujibana hivyo nikaona ni family Car kwa kujibana ila najua zipo Alphad ambazo nazo zinapakia watu zaid ya 10
 
Mimi nina Toyota Ractis sijawahi kujuta matumizi ya mafuta na uvumilivu kwasasa niko nayo Serengeti Mara
 
Wish = Isis. Sijui kama zinashea spare. Mwenye uelewa plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…