Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Gari wanazohitaji waTanzania hazipatikani dunia nzima

Mwaka wa 7 sasa unauliziaga bei za audi,bmw,mercedes lkn hata kununua hununui.

Si bora hata mwenye kapasso anaujua utamu wa kigari chache kuliko kujua utamu wa germany cars kupitia youtube.
Watu humu wana dharau tu, huku wengi humu bado wapambanaji tu.
 
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.

1-isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2-Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3-Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4-Muonekano mzuri na imara.
5-Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6-Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7-Isiwe old model.
8-isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).

Na kinachonimaliza kabisa...

9-Iwe na bei nafuu.

Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..

Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, harrier n.k

Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?

Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.




1200px-2018_BMW_X6_xDrive30d_M_Sport_Automatic_3.0_Front.jpg


2021-Tundra-1-copy.jpg


USC90JES052F021001.jpg
Duuuh ukweli mchungu aisee

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
maisha maisha. umaskin ndio tatizo ndio mana unaona kila anayetaka gar ananunua zenye sifa hizo. kama wewe maskin ho for toyota.hizi zingine zitakupq shida kwanza mafund weng bongo hawajasoma mechanics kwa hio wanakuwa wanabahatisha.sasa magarvyabulaya mtaishia kuyaona kenya tu
 
Mtanzania anahitaji gari moja yenye sifa zifuatazo.

1- Isiwe inakula mafuta, ikiwa inakula mafuta utasikia (jini hilo).
2- Gari ambayo ikiharibika vipuri vipatikane kwa bei nafuu.
3- Gari ambayo ina acceleartion kubwa na top speed kubwa mfano 220km/hr....300km/hr
4- Muonekano mzuri na imara.
5- Yenye gharama nafuu katika utengenezaji.
6- Iwe na uwezo wa kupita off-road.
7- Isiwe old model.
8- Isiwe na mifumo na sensors nyingi za umeme (mfano bmw).

Na kinachonimaliza kabisa...

9-bIwe na bei nafuu.

Utabaki kuendesha ist na vitz mpaka unazeeka..

Ushauri kwa waTanzania wenzangu, tutabaki kuwapigia makofi na kuwasifia wanaume wenzetu wanaomiliki range rover na discovery,bmw x6,v8, benz n.k...
Huwezi hata siku moja kupata gari yenye hizo sifa zote thats why bara bara zimejaa ist, wish, harrier n.k

Kumbuka unapokwenda kununua gari fahamu gari haitumii mtori wala uji, gari inatumia mafuta, brevis tu zimewashinda kila siku mnapiga kelele, mtamiliki gari gani nzuri yenye kasi, luxury, comforatable na speed kama mnakimbia majukumu?

Badilikeni ndugu zangu, acheni maisha ya kukariri, kwa East Africa naona sisi ndio tunamiliki gari za kishamba kuliko wote.




1200px-2018_BMW_X6_xDrive30d_M_Sport_Automatic_3.0_Front.jpg


2021-Tundra-1-copy.jpg


USC90JES052F021001.jpg
Ww unamiliki gari Gani?
 
Kuna kipindi cha magari channel ya KTN ya hapo Kenya jamaa hua wana review gari latest za 2020-2021 tu na bei zake sio mchezo jamaa wa dealership wakihojiwa wanasema gari zinatoka fresh kabisa mpk unajiuliza sisi hali ni ngumu au ni tra au ni nini?

Inshort Kenya kwenye barabara zao kuna magari ya miaka 2015 kuja 2020 mengi saaana kuliko bongo.

Kwako CMC,Toyota etc
Wakuu,
Mbona hii iko wazi nadhani kuna factors za msingi ambazo zinachangia hasa kwa watu wa kipato cha kati. Ukiangalia dhamani ya pesa yetu ukachanganya na kodi za TRA ni kichomi tayari.

Pia elimu yetu na exposure ni ndogo kuna wazee wanapesa nzuri ila akienda kuomba ushauri kwa mafundi wa magari mtu anataka Discovery utasikia hizo ni mbovu sanaa ogopa magari ya EUROPE chukua tu gari za Japan, so hapo tayari tunakosa uzoefu wa magari ya EUROPE.

Pia kuna mob psychology, nadhani after a time gari kubwa na brand tofauti zitakuwa nyingi.

Kipind SUBARU zinaingia mafundi na wabongo wengi walizisema vibaya juzi nimeshangaa kuona zipo namba moja pale Bforward... soon zitakuja Mazda na si sitangangaa kusikia VW zinaanza kuuza sanaa bongo just because of the mob psychology.
 
Back
Top Bottom