Ndugu zangu naomba msaada, nimenunua gari kwa mtu Hiace Super Custom nzuri sana, alikuwa anaitumia kwa safari za hapo Dar binafsi. Sasa nataka kuibadili kuwa ya biashara. Je;
1. Kubadili kadi isome jina langu
2. Kufungua faili TRA kulipa kwa awamu
3. SUMATRA ruti
4. Plate namba za biashara (nyeupe)
Vinaweza kugharimu Tsh. ngapi? Na je kwa siku 5 vyote vyaweza kukamilika? Nipo Moshi. Msaada tafadhali.
Soma Kubadili plate number kutoka private kwenda commercial
Pia Kubadili plate number kutoka private kwenda commercial
1. Kubadili kadi isome jina langu
2. Kufungua faili TRA kulipa kwa awamu
3. SUMATRA ruti
4. Plate namba za biashara (nyeupe)
Vinaweza kugharimu Tsh. ngapi? Na je kwa siku 5 vyote vyaweza kukamilika? Nipo Moshi. Msaada tafadhali.
Soma Kubadili plate number kutoka private kwenda commercial
Pia Kubadili plate number kutoka private kwenda commercial