King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Sawa Mbweni kubwa nipe Direction Mbweni ipi USWAHILINI,MPIJI,MALINDI au JKT? Block gani na Plot namba nimtume mtu aje kuchukua au drop coordinates.Hyo desktop nimekueleza wataikuta wataokuja kupanga hapa! Ila ningeweza kukupatia ww hyo kesho, ili tu uamini nachokisema! Sasa huyo witnessj sina sababu ya kumpatia
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro unazingua sasa, nilikuambia nitakupatia ukasema hauna shida na unazo mbili na ukaenda mbali na kusema nimpatie witness!Sawa Mbweni kubwa nipe Direction Mbweni ipi USWAHILINI,MPIJI,MALINDI au JKT? Block gani na Plot namba nimtume mtu aje kuchukua au drop coordinates.
Duuu unakaa Mbweni ? Eeeh okaySio suala la mali, sina mali zozote zaidi ya hilo gari na kanyumba tu ka kawaida huku mbweni!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro unazingua sasa, nilikuambia nitakupatia ukasema hauna shida na unazo mbili na ukaenda mbali na kusema nimpatie witness!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro suala la computer ulionyesha hauna uhitaj, sasa ivi unasema kuna mtu atakuja nimpatie! Ila unazingua kinoma, anyway nimeamua kuwaacbia wataokuja hapa!Huyo mtu atakayekuja kuchukua ndio nampa mimi,mie nipo arusha siwezi kuja huko kesho saa nne ila kuna mtu anakaa Mwenge ni Rahisi kuja huko!!
Sawa watu washajua kama kweli unatoa gari bure au lah!! Mimi nilitaka kuconfirm nia yako au ni kiki tu.Bro suala la computer ulionyesha hauna uhitaj, sasa ivi unasema kuna mtu atakuja nimpatie! Ila unazingua kinoma, anyway nimeamua kuwaacbia wataokuja hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona hapa kuna mtu ataingizwa town.kuna mtu atalia sasa ivi hapa
Powa!Sawa watu washajua kama kweli unatoa gari bure au lah!! Mimi nilitaka kuconfirm nia yako au ni kiki tu.