Gari ya bure kwa anaehitaji.

Gari ya bure kwa anaehitaji.

JF siku hizi imekuwa ya Kiki kwa Pikipiki umaarufu kunuka,usikute mtoa mada anatafuta kiki tu,amesema kashampa mtu bila kumtaja,ingependeza amtaje ili hiyo kesho tuweze kuhoji kama kweli kapewa gari na apige picha aliweke humu hilo gari.

Kumtaja mtu kama umempa kuondoa walakini ni muhimu haivunji miiko ya JF.
Nimesema kama atakubali nimtaje basi leo hii nitamtaja, kama atakataa basi sitamtaja kwa kuwa tayari nishamfahamu! Au yeye mwenyewe atakuja humu kusema, na kama huamini kesho saa nne asubuhi njoo mbweni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF siku hizi imekuwa ya Kiki kwa Pikipiki umaarufu kunuka,usikute mtoa mada anatafuta kiki tu,amesema kashampa mtu bila kumtaja,ingependeza amtaje ili hiyo kesho tuweze kuhoji kama kweli kapewa gari na apige picha aliweke humu hilo gari.

Kumtaja mtu kama umempa kuondoa walakini ni muhimu haivunji miiko ya JF.
Kwa kuongezea hapa home nina computer ( desktop) ipo vizur ila nayo naiacha na naweza kumpatia yoyote, kama unahitaji tuchekiane then kesho nikupatie!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesema kama atakubali nimtaje basi leo hii nitamtaja, kama atakataa basi sitamtaja kwa kuwa tayari nishamfahamu! Au yeye mwenyewe atakuja humu kusema, na kama huamini kesho saa nne asubuhi njoo mbweni!

Sent using Jamii Forums mobile app
We mtaje tu mkuu sidhani kama ni kosa au huyo aliyepewa ataona umemdhalilisha!!
 
Nimewaadhia hawa jamaa kuhusu gari lako tehe tehe
tapatalk_1547065397300.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atajua yeye maana nimemgudia hiko kitu ila naona kawa mpole, so ni uhuru wake kuja kusema au kukaa kimya ila nilichomsisitiza ni asitaje jina langu kamili kwa mtu yoyote humu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ili tuamini hiyo Desktop ulinipa kama offer naomba uiweke atakuja kuichukua witnessj na yeye kama hana uhitaji nayo naye ataigawa kwa mwenye uhitaji.
 
Habari wana jf,
Nina gari aina ya Toyota Mark II Grande (gx 110), nimeitumia kwa zaidi ya miaka minne sasa na hali yake sio mbaya sana japo inahitaji marekebisho kidogo kwenye tairi za nyuma( kubadilisha tu ball joints).
Nimefikiria kuiuza lakini changamoto za wanunuzi na usumbufu wa kila aina sitaki kabisa, hivyo kwa dhati hii gari nitaiacha na nitaitoa bure kabisa kwa yeyote anaehitaji.
Kwa nini sasa? Kwa sababu nina safari ya kwenda mbali kidogo mwezi huu mwishoni na kurudi yaweza kuwa miaka minne au mitano ijayo.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sh ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikukuambia hivyo kwa lengo la kujitweza, nilikuwa serious ila haina shida kwa maana wataokuja kupanga hapa wataikuta!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpatie mwana JF mwenzetu ili tuamini maana unavyorukaruka tunaanza kuamini ni KIKI,Ukimpatia mtu Desktop hiyo tofauti na huyo asiyejulikana na gari wengi tutaamini,mimi nimechagua umpatie witnessj hiyo Desktop.
 
Sawa ili tuamini hiyo Desktop ulinipa kama offer naomba uiweke atakuja kuichukua witnessj na yeye kama hana uhitaji nayo naye ataigawa kwa mwenye uhitaji.
Hyo desktop nimekueleza wataikuta wataokuja kupanga hapa! Ila ningeweza kukupatia ww hyo kesho, ili tu uamini nachokisema! Sasa huyo witnessj sina sababu ya kumpatia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom