Hii inatokea kwa magari mengi sana
Unakuta umeenda kituo cha mafuta Watoa huduma mara nyingi sana wanafanya makosa na kukuwekea petrol kwenye gar ya diesel au diesel kwenye gari ya petrol
Gari ya petrol kuwekwa diesel madhara yake yanajitokeza hapo hapo na pengine inaweza ata usiwake na gharama za kusafisha fuel system kwa gari ya petrol si kubwa sana zinabebeka.
Swala zito ni pale gari ya diesel ikiwekwa petrol
Gari itawaka na unaweza kutembea ata kilometer 8 had 10
Ila baada ya hapo utakuwa unaharibu system nzima ya mafuta kwa maana kuanzia pump na injector nozzles au injector units kwa magari makubwa
Nini kifanyike kama tu umegundua mapema umewekewa petrol kwenye gari ya diesel
1.usiwashe gari kabisa
2.shusha tank haraka na mwaga mafuta yotee na usafishe tank
3.weka diesel ya kutosha baada ya kusafisha tank
4.weka 500ml of injector cleaner solution
5.washa gari yako na iache ikae kwa muda idle
6.weka gia ondoka
Kama umeshindwa kujua na umeendesha gari yako ikiwa na petrol badala ya diesel baada ya muda mfupi gari itaanza kuleta miss na kutoa moshi mwingi mweusi na kupoteza nguvu yake ya awali
Nini kifanyike
1.peleka gari garage
2 .tank ishushwe na kusafishwa.
3.toa injector nozzle zote na pump
4.zipime injector na pump
Bila shaka zitakuwa zishakuwa damaged wasiliana nasi kwa maana tunamashine za kisasa za kupima nozzle na pumps za common rail na pia tunarepair pumps na injector nozzle za aina zote
Mawasiliano
0716505153
Dar es salaam-tabata magengeni
View attachment 948832View attachment 948833View attachment 948834