Gari ya diesel ikiwekwa petrol

Kuna baadhi ya magari wahudumu hawajui kama hili ni la diesel na hili ni la petrol kwa mfano gari kama BMW 335d,
Mercedes-Benz E250 hivi zinatumia diesel kwa mwonekano kwa vile ni ndogo utajua inatumia petrol !!!
Kabisa wahudumu wengi wakiona gari ni dogo wamekariri ni ya petrol napata wateja wengi wa gari za aina hiyo kwa tatizo la kuwekewa petrol.asante kwa elimu zaidi
 
mbona mie napofika sheli hawaniulizagi kama nataka petrol au diesel? Naonaga wanaweka tu
 
upo sawa mkuu ila uja eleza kwa undani inakuaje gari ya diseli itembee kilomita 8 baadaa yakuekewa petrol . je nini kinisababisha gari ilo litembe ilihali ni special kwa matumizi ya disel……..
 
Moja ya suluhisho ni kuweka label kwenye mfuniko wa fuel tank. Gari nyingi sasa zinafanya hivyo toka kiwandani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…