Hili gari linatisha sana kuliangalia! Kinachonishangaza ni ujasiri wa Tundu Lissu kutaka kulitengeneza na kulitumia tena.
Gari hilo ni kielelezo cha jinsi ilivyo vigumu kuutoa madarakani mfumo CCM. Gari hilo lihifadhiwe makumbusho ya Taifa kwani ni alama ya ukombozi wa mtanzania.
Tundu Lissu ambaye ni makamu mwenyekiti wa CDM anastahili kununuliwa gari mpya. Hapaswi kutengeneza ile gari ya zamani iliyo na matundu ya risasi.
Gari hilo ni kielelezo cha jinsi ilivyo vigumu kuutoa madarakani mfumo CCM. Gari hilo lihifadhiwe makumbusho ya Taifa kwani ni alama ya ukombozi wa mtanzania.
Tundu Lissu ambaye ni makamu mwenyekiti wa CDM anastahili kununuliwa gari mpya. Hapaswi kutengeneza ile gari ya zamani iliyo na matundu ya risasi.