raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Bruh nchi hii watu wengi wameanza kunusa nusa pesa 2000s 😆Gari ni big deal?
Kuna watu washamba sana.
Inferiority complex tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bruh nchi hii watu wengi wameanza kunusa nusa pesa 2000s 😆Gari ni big deal?
Kuna watu washamba sana.
Inferiority complex tu.
Ww umeanza kuzishika lini sweetheart 😊?Bruh nchi hii watu wengi wameanza kunusa nusa pesa 2000s 😆
Ushamba tu.Bruh nchi hii watu wengi wameanza kunusa nusa pesa 2000s 😆
Mimi pia ni muhanga wa 2000s 😄Ww umeanza kuzishika lini sweetheart 😊?
Gari wala si jambo linalohusu hela nyingi mbona.Mimi pia ni muhanga wa 2000s 😄
🤣🤣Mimi pia ni muhanga wa 2000s 😄
Sio duniani hapa hapa bongoUshamba tu.
Gari ni kitu cha kawaida sana.
Wanasema tembea uone. Na kusafiri ni elimu.
Kuna nchi hapa duniani watoto wa high school [miaka 16-18] wanajaza parking lots za shule zao.
Kwao ni jambo la kawaida sana. Kwa wengine, ni jambo la ajabu sana.
Go figure.
Ni gari gani mkuu? Kuna haja ya kuishi kwa kweli🤣🤣Saivi niki taka kupata music ,kuwasha Ac .kushusha kioo ni naongea tu kinafanyika..
Hata mm rere nna magari 6Sio duniani hapa hapa bongo
AKM tuu hapo madogo wana roll na volvos
Hahaaa!Sio duniani hapa hapa bongo
AKM tuu hapo madogo wana roll na volvos
Achana na yule mshamba mkuu.Gari kwako ni big deal?
I’ve had cars probably before you were even born.
Huna tofauti na yule aliyeniambia ‘tushajua una ATM card’ kisa tu nilielezea tofauti kati ya Visa na MasterCard.
Gari ni kitu cha kawaida sana. Sina haja ya kumjulisha yeyote yule kuwa ninayo au la.
Probably 🤣.Achana na yule mshamba mkuu.
Huyo hata hana lolote alikuwa anatafuta tu attention yako
Hata malori haya nasikia yanayo hio kitu, kuanzia ku-test ulevi na uchovu, "nasikia" ukiwa na kiwango cha pombe kikubwa haiwaki na ukiendesha kwa muda mrefu bila kusimama au kupumzika inajizima....Haya magari ya siku hizi noma sana.
Pata picha uko kwenye highway, expressway, freeway, interstate, etc.
Kwenye uendeshaji wa magari kuna kitu kinaitwa highway hypnosis.
Ile hali ambayo ukiwa unaendesha gari lakini unajikuta unaacha kuwa attentive na kuangalia barabarani na akili yako inakuwa kwenye mambo mengine.
Sasa ikitokea hivyo, baadhi ya haya magari ya siku hizi yana monitoring system ambayo itakujulisha kuwa umeanza kuwa distracted.
Baadhi yata flash ki message kuwa attentiveness yako ni ndogo.
Mengine yana PA system itakayokuambia kwamba umeanza kuwa inattentive.
Mimi kwa mara ya kwanza iliponitokea, ilikuwa ni hiyo sauti.
Nilishangaa sana. Gari inajuaje kuwa mimi macho yangu yameacha kuangalia ninakokwenda hadi kuniambia kuwa nipo distracted?
Ni safety feature nzuri. Ila, kwa upande mwingine, hiyo siyo intrusion kweli kwenye faragha zetu?
Yawezekana haya magari ya siku hizi yana vi camera vya kufuatilia nyendo na matendo yetu?
Yup.Hata malori haya nasikia yanayo hio kitu, kuanzia ku-test ulevi na uchovu, "nasikia" ukiwa na kiwango cha pombe kikubwa haiwaki na ukiendesha kwa muda mrefu bila kusimama au kupumzika inajizima....
Cc ngapi?Nasukuma Landcruiser Amazon
Kabisa hadi wauza nyanya wana range 😀😀Hata mm rere nna magari 6
Ila naona kawaida🤣🤣
Gari ni kitu cha kawaida sana🤣🤣💔