Gari yako ishawahi kukuambia hivi?

Gari yako ishawahi kukuambia hivi?

Bruh nchi hii watu wengi wameanza kunusa nusa pesa 2000s 😆
Ushamba tu.

Gari ni kitu cha kawaida sana.

Wanasema tembea uone. Na kusafiri ni elimu.

Kuna nchi hapa duniani watoto wa high school [miaka 16-18] wanajaza parking lots za shule zao.

Kwao ni jambo la kawaida sana. Kwa wengine, ni jambo la ajabu sana.

Go figure.
 
Ushamba tu.

Gari ni kitu cha kawaida sana.

Wanasema tembea uone. Na kusafiri ni elimu.

Kuna nchi hapa duniani watoto wa high school [miaka 16-18] wanajaza parking lots za shule zao.

Kwao ni jambo la kawaida sana. Kwa wengine, ni jambo la ajabu sana.

Go figure.
Sio duniani hapa hapa bongo
AKM tuu hapo madogo wana roll na volvos
 
Sio duniani hapa hapa bongo
AKM tuu hapo madogo wana roll na volvos
Hahaaa!

Ndo maana nikasema ni ushamba tu.

Humu humu JF, nadhani ilikuwa ni 2013…..kuna mtu alikuja kuuliza tofauti ya Visa na MasterCard.

Nikajitolea kumwelewesha.

Akaja mtu mmoja akasema kwamba eti najidai kwa kuwa nina ATM cards za Visa na MasterCard.

Hivi kuwa na ATM card ni jambo la ajabu? Mbona hizo kadi ni kitu cha kawaida sana 🤣.

Ushamba tu.
 
Gari kwako ni big deal?

I’ve had cars probably before you were even born.

Huna tofauti na yule aliyeniambia ‘tushajua una ATM card’ kisa tu nilielezea tofauti kati ya Visa na MasterCard.

Gari ni kitu cha kawaida sana. Sina haja ya kumjulisha yeyote yule kuwa ninayo au la.
Achana na yule mshamba mkuu.
Huyo hata hana lolote alikuwa anatafuta tu attention yako
 
Haya magari ya siku hizi noma sana.

Pata picha uko kwenye highway, expressway, freeway, interstate, etc.

Kwenye uendeshaji wa magari kuna kitu kinaitwa highway hypnosis.

Ile hali ambayo ukiwa unaendesha gari lakini unajikuta unaacha kuwa attentive na kuangalia barabarani na akili yako inakuwa kwenye mambo mengine.

Sasa ikitokea hivyo, baadhi ya haya magari ya siku hizi yana monitoring system ambayo itakujulisha kuwa umeanza kuwa distracted.

Baadhi yata flash ki message kuwa attentiveness yako ni ndogo.

Mengine yana PA system itakayokuambia kwamba umeanza kuwa inattentive.

Mimi kwa mara ya kwanza iliponitokea, ilikuwa ni hiyo sauti.

Nilishangaa sana. Gari inajuaje kuwa mimi macho yangu yameacha kuangalia ninakokwenda hadi kuniambia kuwa nipo distracted?

Ni safety feature nzuri. Ila, kwa upande mwingine, hiyo siyo intrusion kweli kwenye faragha zetu?

Yawezekana haya magari ya siku hizi yana vi camera vya kufuatilia nyendo na matendo yetu?
Hata malori haya nasikia yanayo hio kitu, kuanzia ku-test ulevi na uchovu, "nasikia" ukiwa na kiwango cha pombe kikubwa haiwaki na ukiendesha kwa muda mrefu bila kusimama au kupumzika inajizima....
 
Hata mm rere nna magari 6
Ila naona kawaida🤣🤣
Gari ni kitu cha kawaida sana🤣🤣💔
Kabisa hadi wauza nyanya wana range 😀😀
dbf48e8b12284935a32455abcaa426fa.jpg
 
Back
Top Bottom