Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Hamkosekanagi watoto wa mwaneromango ni full uswahili hamuwezi kabisa kumezea jambo bila kuleta maneno yenu ya unyagoni hongera sana kwa kungwi wako dada anguTushajua una gari basiiiii tusamehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamkosekanagi watoto wa mwaneromango ni full uswahili hamuwezi kabisa kumezea jambo bila kuleta maneno yenu ya unyagoni hongera sana kwa kungwi wako dada anguTushajua una gari basiiiii tusamehe
Ni ushamba tu.Hamkosekanagi watoto wa mwaneromango ni full uswahili hamuwezi kabisa kumezea jambo bila kuleta maneno yenu ya unyagoni hongera sana kwa kungwi wako dada angu
Kwangu kikubwa ni faragha.Teknologia imeenda mbali Sana... Sikuhizi wanakuja magari ambayo Sisi madereva yanatufanyia kilakitu
Uwe na adabu kwa waliokuzidi kwa kila kitu japo upo nyuma ya keyboardTushajua una gari basiiiii tusamehe
Hahahaa.Uwe na adabu kwa waliokuzidi kwa kila kitu japo upo nyuma ya keyboard
Kabisa hadi wauza nyanya wana range 😀😀View attachment 3076616
Mwanzo wa mada yako ,nilijificha nyuma ya mlango nitachangia nini Mimi na Corolla yangu ,mwamba anabadilishwa oil nikipata mkopo benki Wala hanuni Wala kulalamika yeye fresh tu ,safari popoteKwangu kikubwa ni faragha.
Unakuta gari lina 360 surround view camera.
Who is to say hakuna mwingine zaidi yako mwenye access na hiyo camera?
Mtu utajiridhishaje kuwa hauwi monitored na watu wasiojulikana huko?
Binafsi napenda sana simplicity ya magari ya zamani.
Haya ya siku hizi ka kitu kamoja kakiharibika gari lote linashindwa kufanya kazi.
Na kulitengeneza mpaka upeleke kwa dealer.
Bagheshi naelewa MimiHahahaa.
Karne hii ya 21 gari ni kama chupi tu.
Kuwa na gari siyo flex.
Madhali inafanya kazi yake ya kukutoa pointi A kwenda pointi B na wakati mwingine mpaka pointi C, sioni shida ilipo.Mwanzo wa mada yako ,nilijificha nyuma ya mlango nitachangia nini Mimi na Corolla yangu ,mwamba anabadilishwa oil nikipata mkopo benki Wala hanuni Wala kulalamika yeye fresh tu ,safari popote
Mkuu Nyani Ngabu nafurahi kusikia hivyo siku ile umepandisha hii mada nilihisi umeniumiza sana moyo wangu kila nikiona uzi basi roho ilikuwa inasononeka Ila Sasa nahisi Raha sana .Madhali inafanya kazi yake ya kukutoa pointi A kwenda pointi B na wakati mwingine mpaka pointi C, sioni shida ilipo.
Mwisho wa siku itabidi tuenende na technology inakoelekeaKwangu kikubwa ni faragha.
Unakuta gari lina 360 surround view camera.
0
Who is to say hakuna mwingine zaidi yako mwenye access na hiyo camera?
Mtu utajiridhishaje kuwa hauwi monitored na watu wasiojulikana huko?
Binafsi napenda sana simplicity ya magari ya zamani.
Haya ya siku hizi ka kitu kamoja kakiharibika gari lote linashindwa kufanya kazi.
Na kulitengeneza mpaka upeleke kwa dealer.