sir kamugisha
Member
- Sep 22, 2012
- 20
- 8
Gari ni Toyota opa , ni auto , ATF Nina kama mwaka sjabadiliMatatizo ni mengi tu lkn anza na simple solutions.
Ungetaja model ya gari yako pia ni manual/auto,mara ya mwisho umebadilisha ATF lini?
Ni drive , so , ATF niibadili kabisa ? Naibadili vipi au mpaka fundi?Gari gani?
kuchelewa kupata mwendo ni injini, na km unaanzia na gia za juu km 2 badala ya 1 itachelewa
na km ni D (drive) kacheki ATF (oil yake)
ee fundi akamwage hiyo Oil na atarekebisha kila kitu litakuwa vizuri tu MkuuNi drive , so , ATF niibadili kabisa ? Naibadili vipi au mpaka fundi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena nashauli pia kwa wamiliki wa magari jaribuni kununua oil ambazo ziko approved na watengeneza magari wenyewe ila hizi oil ambazo mnaweka na haxionyeshi gari ipi ndo chanzo cha kuua engine na giabox plz kila gari ina recommendations ya kilainishi inachotumia either kwa kuandika no au aina na gari nyingi za Toyota hasa hizi mpya mpya za kuanzia 2005- wanatumia giabox oil T-4, WS na CTV kwa baadhi ya gari na zingine zikitumia T-2 ila unakuta mtu gari inahitaji t-4 yeye anaiwekea t2/3 hapo unaua giabox bila kujuaMimi hua nabadili ATF kila baada ya Km 40,000 hua siangalii sana muda niliotumia,lkn pia magari mengi haya ya Toyota tunaya abuse kwa kutumia wrong/cheap ATF zilizojaa huku madukani yaani hatuzingatii kabisa ATF zinazokua recomended na Toyota wenyewe na zinaharibu gear box kweli kweli.
Vipi ATF inanukia kama harufu ya kuungua hivi?
Hauna leak yoyote ile,angalia pale unapo park gari.
Lkn pia huashauriwi kuendelea kuiendesha gari kibabe huku ukiing'ang'aniza ibadili gia maana unaweza kuiharibu kabisa gearbox wkt unaweza kukuta tatizo labda ni dogo la sensor tu.
Nashauri pia uende kwa wataalam wenye machine za ku-scan(Sio wanaotumia hizi Obd-2 maana hizi nyingi ziko limited kusoma engine faults tu) waichek hio transmission yako kama italeta faults codes.Njia hii ni nzuri zaidi kuliko kufanya guess work.
Asante kk , Nawapata wapi hao?Mimi hua nabadili ATF kila baada ya Km 40,000 hua siangalii sana muda niliotumia,lkn pia magari mengi haya ya Toyota tunaya abuse kwa kutumia wrong/cheap ATF zilizojaa huku madukani yaani hatuzingatii kabisa ATF zinazokua recomended na Toyota wenyewe na zinaharibu gear box kweli kweli.
Vipi ATF inanukia kama harufu ya kuungua hivi?
Hauna leak yoyote ile,angalia pale unapo park gari.
Lkn pia huashauriwi kuendelea kuiendesha gari kibabe huku ukiing'ang'aniza ibadili gia maana unaweza kuiharibu kabisa gearbox wkt unaweza kukuta tatizo labda ni dogo la sensor tu.
Nashauri pia uende kwa wataalam wenye machine za ku-scan(Sio wanaotumia hizi Obd-2 maana hizi nyingi ziko limited kusoma engine faults tu) waichek hio transmission yako kama italeta faults codes.Njia hii ni nzuri zaidi kuliko kufanya guess work.
Ndo ipi hyo na ipo sehemu gani ya gariConverter itakuwa imekufa!
Google 'Torque Converter'.
Sawa kk nmekuelewaHiyo gari itakuwa inahitaji service tu ya gearbox, tafuta fundi amwage hiyo gearbox oil wafungue sample kabisa wasafishe, then weka oil ya ukweli ya Toyota yenyewe kabisa ni bei kidogo 5ltrs ni laki moja, ukishindwa weka hata Castrol,...usipende kuendesha gari muda mrefu bila kubadili oil ya gearbox kutokana na mazingira yetu na hali ya hewa, angalau kila baada ya service mbili za engine then service ya tatu unamwaga na gearbox oil hata kama itaonekana kutokuchoka sana otherwise utaua hiyo gearbox..!
Na sio kila atf inafit gearbox zote cha muhimu ni kujua aina ya atf inayotumiwa na gari hiyo na kila kampuni za gari zina no zake zinazoonyesha aina ya oil inayofit kwa gari zakeHiyo gari itakuwa inahitaji service tu ya gearbox, tafuta fundi amwage hiyo gearbox oil wafungue sample kabisa wasafishe, then weka oil ya ukweli ya Toyota yenyewe kabisa ni bei kidogo 5ltrs ni laki moja, ukishindwa weka hata Castrol,...usipende kuendesha gari muda mrefu bila kubadili oil ya gearbox kutokana na mazingira yetu na hali ya hewa, angalau kila baada ya service mbili za engine then service ya tatu unamwaga na gearbox oil hata kama itaonekana kutokuchoka sana otherwise utaua hiyo gearbox..!