sir kamugisha
Member
- Sep 22, 2012
- 20
- 8
Jamani habari za leo, tatizo la gia box kuchelewa kuchanganya haraka wakati gari inaanza mwendo, shida inaweza kuwa ni nini?
Ushauri tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app