Gari yangu inachelewa kubadili gia

Gari yangu inachelewa kubadili gia

Msaada ttafadhar gariyang aisomi speedmeter ,aiwaki sehem ya odo pia inachelew kidg kubadil gia mafundiwangu naina wanachem sjui shidanin
Speed sensor au wiring yake kimeo.

No wonder speedometer haisomi.
 
Ni gari hizi za mfumo wa umeme ama za zamani kidogo?

Au search "delay shifting" kwenye google utapata msaada zaidi.
 
Gear box oil imechoka, umeweka wrong gear box oil, gear box imekufa, gari imekufa, mwenye gari hana hela.
 
Back
Top Bottom