Gari yangu inalia mlioo wa kukakamaa napokata kona mpaka mwisho, tatizo ni nini?

Gari yangu inalia mlioo wa kukakamaa napokata kona mpaka mwisho, tatizo ni nini?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Ni gari aina ya toyota sprinter, unapozungusha steering wheel (msteringi 😂) kwa sana inaanza kupiga kelele ka ka ka ka, kuna vishindo unavisikia kwa mbali vinavyoambatana na hio sauti.

Na kama vp tusaidiane bajeti ya kutegemea, nsije pigwa na mafundi.

MREJESHO

Sehemu ya kwanza alikopeleka gari rafiki yangu aliambiwa aandae 75,000/=

cv joint mpya - 50,000
grease kopo - 5,000
ufundi - 20.000

Akaja kwangu akalalamika ni bei sana, nimsaidie, tukaenda kwa fundi flani alipochunguza akaniambia ni mpira tu wa cv joint ya upande wa tairi moja imechanika inabidi ubadilishe kwasababu maji yakiingia grease inaingia maji vyuma vya cv joint vinakakamaa.


1607433640107.png



Matengenezo yakawa ni elf 25 tu kama ifuatavyo

Greasi kopo 1 - 5,000
Mpira wa joint - 10,000
Ufundi - 10,000


Kutoka 75,000 mpaka 25,000 pesa iliyookolewa ni 50,000
 
Kwanza umetafuta kiswahili kinachofurajisha eti mlio uliokakamaa
😁😁😁😁😁

Pili hayo ndio huwa hayataki bwana mmoja aitwae Kiduku Lilo ya kuchomoka pistoni kupitia boneti 😀

Tatu ngoja wataalamu waje kukupa mwongozo.
 
Ni gari aina ya toyota sprinter , unapozungusha steering wheel (msteringi [emoji23]) kwa sana inaanza kupiga kelele ka ka ka ka, kuna vishindo unavisikia kwa mbali vinavyoambatana na hio sauti.

Na kama vp tusaidiane bajeti ya kutegemea, nsije pigwa na mafundi.
hzo ni Seelev Joint (nahs hyo neno sleeve nmekosea kuandka but inatamkwa sliv) huwa znakufa sana kpindi hiki cha mvua. bei haizid 40k
nakushauri kama zmeanza kulia badilisha mapema mana itafika mahala umekata kona afu ile unarudisha steering unashangaa inagoma .
 
Ni gari aina ya toyota sprinter, unapozungusha steering wheel (msteringi 😂) kwa sana inaanza kupiga kelele ka ka ka ka, kuna vishindo unavisikia kwa mbali vinavyoambatana na hio sauti.

Na kama vp tusaidiane bajeti ya kutegemea, nsije pigwa na mafundi.
CV joint imekufa...full stop
 
Ni gari aina ya toyota sprinter, unapozungusha steering wheel (msteringi 😂) kwa sana inaanza kupiga kelele ka ka ka ka, kuna vishindo unavisikia kwa mbali vinavyoambatana na hio sauti.

Na kama vp tusaidiane bajeti ya kutegemea, nsije pigwa na mafundi.
Gari lako Lina tumia hydraulic power stearing, angalia Kama level ya ATF - (Automatic Transmission Fluid) iko sawa, Kama iko below minimum level, ongeza halafu endesha gari. Kama hukufauru kutatua tatizo, niambie twende hatua ya 2.
 
Gari lako Lina tumia hydraulic power stearing, angalia Kama level ya ATF - (Automatic Transmission Fluid) iko sawa, Kama iko below minimum level, ongeza halafu endesha gari. Kama hukufauru kutatua tatizo, niambie twende hatua ya 2.
Sehemu ya kwanza alikopeleka gari rafiki yangu aliambiwa aandae 75,000/=

cv joint mpya - 50,000
grease kopo - 5,000
ufundi - 20.000

Akaja kwangu akalalamika ni bei sana, nimsaidie, tukaenda kwa fundi flani alipochunguza akaniambia ni mpira tu wa cv joint ya upande wa tairi moja imechanika inabidi ubadilishe kwasababu maji yakiingia grease inaingia maji vyuma vya cv joint vinakakamaa.


1607433640107.png



Matengenezo yakawa ni elf 25 tu kama ifuatavyo

Greasi kopo 1 - 5,000
Mpira wa joint - 10,000
Ufundi - 10,000


Kutoka 75,000 mpaka 25,000 pesa iliyookolewa ni 50,000
 
Back
Top Bottom