- Gari ipi?wakuu naomben msaada gariyangu inamisi
wakalekebisha ila baada yawikitu tatizo
Misfire inasababishwa na mambo mengiwakuu naomben msaada gariyangu inamisi sana mbaka mliman inashindwa kupanda ata kimlima kidogotu inataka tambalale na mtelemkoni nilijalibu kwenda garage mafundi wakalekebisha ila baada yawikitu tatizo likajiludia nkajilib kwendatena vilevile likajiludia baada yamdakidogo. naomben ushauli nduguzangun
Weka taarifa za muhimu.wakuu naomben msaada gariyangu inamisi sana mbaka mliman inashindwa kupanda ata kimlima kidogotu inataka tambalale na mtelemkoni nilijalibu kwenda garage mafundi wakalekebisha ila baada yawikitu tatizo likajiludia nkajilib kwendatena vilevile likajiludia baada yamdakidogo. naomben ushauli nduguzangun
gariyang ni aina ya Duet ina 980cc pindi nilipoenda mafundi walibadili coili inayotoa moto kwenye pragi nilipoludiatena wakabadili ioio coili na inakufa kipindi cha asubii palepind napo washa gar nakuieka sailensa nakusubil sentigred ya joto ifike sehem yake uwa inakua gaflatu unakuta imebadili muungulumo nakuanza kumicWeka taarifa za muhimu.
Ni gari aina gani?
Huko gereji walibadili nini?
Uko wapi?
naambiwa coili lakn io coili kila baada yamdatu inakufaMisfire inasababishwa na mambo mengi
1.plugs
2.coil
3.mafuta machafu
4.fuel filter chafu
Hivi ndio vitu simple vya kuanza navyo.
Gari gani? Ukibadili coil badili na plugs. Plugs mbovu zinaua coil.naambiwa coili lakn io coili kila baada yamdatu inakufa
aina ya gar ni duet natatizo nililo elezwani kwamba inakua imeua coili- Gari ipi?
- Je walikueleza Tatizo ni nini?
- Je kuna kifaa ulibadili?
nilibadili plag zote 3 na coili inakufa moja tu na gariyang ni piston tatuGari gani? Ukibadili coil badili na plugs. Plugs mbovu zinaua coil.
saw bat niliipak kwamda wa miez kama6 ivi nakipindi inapakiwa ilikua freshitu bat sikunakuja iwasha nikakuta iocoili moja imekufa nkabadili nyingine nikatumiakidog kama wikinanusuiv ikafa nkaamua kununua plag mpya na coil nuingine nmetumia kama wikitu nayo imekufa lakn plag nzimaSawa. Kwanza pole naona limekuambukiza hadi wewe uhandishi.
Kwanza gari gani? Service ya mwisho ulilifanyia nini? Na lini? Na hao mafundi walitengeneza nini?
Miss inaweza sababishwa na vitu vingi na inaweza pia ikasababisha madhara makubwa kwenye gari. Mfano hapo tunaona halina nguvu kabisa.
Service kuanza nayo ni oil & filters, ATF, plugs & coil kwanza.
Una uhakika na quality ya coil unazonunua?nilibadili plag zote 3 na coili inakufa moja tu na gariyang ni piston tatu
Ina miss nini?Wakuu naomben msaada gari yangu inamisi sana mbaka mliman inashindwa kupanda ata kimlima kidogotu inataka tambalale na mtelemkoni nilijalibu kwenda garage mafundi wakalekebisha ila baada yawikitu tatizo likajiludia nkajilib kwendatena vilevile likajiludia baada ya muda kidogo.
Naomben ushauri nduguzangun
Hukupita hata Ngumbaro?gariyang ni aina ya Duet ina 980cc pindi nilipoenda mafundi walibadili coili inayotoa moto kwenye pragi nilipoludiatena wakabadili ioio coili na inakufa kipindi cha asubii palepind napo washa gar nakuieka sailensa nakusubil sentigred ya joto ifike sehem yake uwa inakua gaflatu unakuta imebadili muungulumo nakuanza kumic
nijalibu kubadil ainambili ya coil japo somm ninae nunua uwanawaachia mafund io kaziUna uhakika na quality ya coil unazonunua?
Tatizo liko hapo kwenye kuwaachia mafundi.nijalibu kubadil ainambili ya coil japo somm ninae nunua uwanawaachia mafund io kazi
ngoja nijalib nikanunue mwenyew trip iiTatizo liko hapo kwenye kuwaachia mafundi.
Nunua mwenyewe na simamia wakati wanabadili.ngoja nijalib nikanunue mwenyew trip ii
saw mkuu nashukul kwaushauliNunua mwenyewe na simamia wakati wanabadili.