Wakuu naomben msaada gari yangu inamisi sana mbaka mliman inashindwa kupanda ata kimlima kidogotu inataka tambalale na mtelemkoni nilijalibu kwenda garage mafundi wakalekebisha ila baada yawikitu tatizo likajiludia nkajilib kwendatena vilevile likajiludia baada ya muda kidogo.
Naomben ushauri nduguzangun
Naomben ushauri nduguzangun