Gari yangu inaoverheat ikiwa kwenye foleni au low speed

Gari yangu inaoverheat ikiwa kwenye foleni au low speed

Yupo sahihi kwa kiwango flani..

Hio dhana ambayo unaipinga (nchi za baridi/ nchi za joto) ni dhana sahihi kabisa na kisayansi ipo.. unaweza pitia kwenye automotive blogs mbalimbali utaikuta.

Thermostat imewekwa kuhakikisha engine ina operate kwenye kiwango cha joto kinachotakiwa (85c - 110 deg celcius). hili unalifahamu......sasa hapa ndo panahitaji akili ya ziada. Uliponunua wewe gari used kutoka japan ambako wanaamka Asubuhi wanakuta gari imefunikwa na snow ukubali kuwa ukija huku kwetu ambako Jua la saa nne asubuhi linaivisha Sausage hutatumia baadhi ya vitu.. pengine hutavihitaji kabisa..

Gari lako lina switch ya ku warm seat.. binafsi hii switch sijawahi itumia hata siku moja. mtu akiniambia hii ichomolewe siwezi kuhamaki na kusema ooh ni mjapani kaweka... ndo mana nikasema panahitaji akili ya kujiongeza.

kwa Dar.. naamini kabisa 98% ya magari yenye thermostat bado.. yanapowashwa asubuhi ndani ya safari husika hakuna wakati wowote ambao thermostat itajifunga (kuzuia mzunguko wa maji kwamba engine ni ya baridi mno) nadhani umeelewa.
Naamini pia endapo Wajapani wangekua wanaunda magari specifically kwa kila eneo basi wasingeweka thermostat kwa magari yanayoenda kutumika nchi zenye joto kali. cha msingi ni kutambua kua asilimia karibia 80% ya magari tunayotumia hayakulenga soko la nchi kama zetu.. huo ndo ukweli kwahio ukitambua hili haupati shida kuskia mtu anataka ku deactivate kitu flani. magari yalolenga soko la africa yanafahamika kabisa na wenyewe wauzaji wanasema.. na utalikuta limekaa kiafrica kwelikweli ma springs, shockabs n. k
Yaani umeongea kirahisi sana ila sio kitaalamu. Na ulivyoanza kwa mkwala nikasema unaonekana unajua unachokisema japo nisome hadi mwisho. Kwa kifupi hakuna cha maana umeongea hapa cha zaidi umezidi tu kuprove kuwa haujui magari especially eneo la engine.

Thermostat haifanyi kazi kwa timing ya muda bali ni kwa timing ya temperature sensory information inayokusanywa na temperature sensors katika mfumo wa gari eneo la engine.

Sasa wewe kwa kutofahamu unahisi gari unatumia body temperature ya gari kucontrol shughuli za engine?! [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa naomba ufanye hivi, kama una akili timamu jiulize hivi engine huwa inapashwa kwa jotoridi kiasi gani?

Na pia joto la mazingira ni ngapi?! Hivi joto la hali ya hewa hii tunayotumia binadamu likivuka tu 60°C kuna mtu atakuwa salama na ataendelea kuishi kwa amani?!

Umeshawahi kujiuliza magari yanapasha hadi kufikia kiwango gani cha jotoridi ndipo sensor ziruhusu thermostat ijitrigger kuruhusu coolant kwenda kupoza engine ili kuregulate jotoridi sahihi?!

Joto la gari huwa linafanya chuma kinakuwa cha moto karibia kuanza kuiva na ndio maana usipocontrol joto la gari vyuma vinaanza kuiva na kuyeyuka maana hufikia melting point. Hapo tunazungumzia jotoridi above 100°C wewe unataka kutuaminisha kuwa jua huwa linapasha jotoridi la engine na kuifikisha hata 50°C [emoji23][emoji23][emoji23]?

Sasa kama engine itapashwa hivi je body ya gari itakuwa katika joto kiwango gani?! Na kuna mtu ataweza kuendesha gari katika joto la hivyo?!

Hebu muwe mnajifunza kwa umakini sio kukurupuka bila kutazama uhalisia.

Thermostat haitakiwi kutolewa kwenye gari. Unatakiwa kuifanyia timely maintenance inapotokea imeleta shida na ikiwa haipo sawa unatakiwa kununua mpya na kuireplace maana huwa zinaisha muda wa matumizi.
 
Lol... ndo mana nasema inahitajika akili ya ziada, Ukiwasha gari saa sita mchana si engine ilikua imepoa thermostat inakuaje wazi bro?? Thermostat itafunga wakati umeliwasha namna ambayo inatakiwa kua ILA baada ya kutembea kidogo hakuna wakati mwingine wowote katika safari yako ambapo ETI thermostat itabidi ifunge tena kwa sababu engine imepoa mno (katika Nchi zetu hizi za Tropic), huko kwa wenzetu themorstat inaweza kufungua na kufunga mara nyingi sana ndani ya safari moja.

Kama umenisoma vizuri.. Point yangu kiufupi ni kua Kuondoa Thermostat kwa nchi zetu za joto hakuna adhari yoyote katika matumizi ya gari lako..

Sent from my CLT-L09 using JamiiForums mobile app
Hebu tuambie mtaalamu, joto la engine huwa linatakiwa kufika °C ngapi ndipo thermostat ifunguke na kuruhusu coolant iingine kupoza engine?!

Yaani ni jotoridi la kiwango gani ambalo likifikiwa then halitakiwi kuzidi hapo?!


Hint:
Ukinijibu hili swali na wewe utaweza kujifunza kitu leo. Yaani ndio ile wanasema unapomfundisha mtu na wewe unajifunza hapo hapo.
 
Sio kila kitu anachoelekeza mtengenezaji ni cha kufuata. Vitu vingine ni kujiongeza kulingana na mazingira. Mfano siku hizi wamekuja na lifetime fluids, kama za gearbox. Sasa fuata hayo maelekezo usibadili uone kama hutanunua gearbox kila mwaka.
Hebu tuwekee hapa mfano wa hiyo product
 
Noana wadau hapo juu wavutana kuhusu thermostat,

But kiufupi Thermostat ni muhimu kwenye gari for proper temperature control..jua ukitoa thermostat injini inachelewa ku attain its operating temperature quickly, hivo inapelekea gari kuanza ku develop matatizo madigo madogo pindi inapoendeshwa before engine haijafika kwenye operating temperature.

Thermostat hufanya kazi ya kuzuia maji ya moto yasi escape kutoka kwenye engine kwenda kwenye radiator bila kuruhusiwa for heat exchange..sasa hii maana yake nikwamba thermostat inawekwa ku enhance rapid temperature increase kwenye combustion chamber ili kufanya piston na piston rings ziweze ku expand (kutanuka pindi joto linapanda) na kuyeyusha oil, lakini pia kiupandisha oil ndani ya muda mfupi kwenye piston sleeves ( cylinder bore) na kwenye cam shafts, and at the same time silencer (idle speed huwa juu kama ndo wa iwasha injini) hii mechanism ndo hutokea ili injini uweze sasa kufanya kazi inavotakiwa ambapo utakuta piston zimetight vizuri kwenye bore na compression inakua poa hivo injini haiitaji mafuta mengi tena kufanya kazi (kama umegundua injini ikiwa ya baridi ukiwasha unasikia hadi harufu ya mafuta nabichi kwakua combustion haiwi complete wakati wa baridi na oxygen sensor inakua haipati feedback nzuri wakati wa injini ikiwa ya baridi, na ndo maana some models utakuta oxygen sensor ina heater kwa ajili ya hili jambo)

sasa gari ikisha attain temperature inayotakiwa, thermostat inakua inafanya kazi ya kufunguka kuruhusu maji ya moto kutoka na maji ya baridi kuingia ili ku maintain temperature.. namna hii kitu inafanya kazi kunakua na coordination kati ya thermostat, fan switch, na mfuniko wa radiator.. ambapo kwakua mfumo wa upozaji wa injini ni closed system, what happens Temperature inakua controlled by means of pressure inayokua generated na maji pale yanapokua yamekua ya moto na kutaka kuchange form kutoka liquid form to steam(mvuke). Tambua ili maji yawe na uwezo wa ku-transfer heat muda wote yanatikiwa kuwa kwenye liquidi form not otherwise..sasa thermostat pamoja na mfuniko wa radiator huakikisha maji yanakua kwenye kiminikia muda wote..sasa kadiri joto la maji linavozidi kupanda, pressure ya maji hupanda sana kufikia hatua Ile pressure husukuma spring ya thermostat na kuruhusu yale maji ya moto yenye pressure kutoka, yakisha na wakati huohuo yale maji yamoto yanapotoka hukutana na switch ya fen nakuwasha fen ya radiator, nakama switch yako inafanya kazi kwa kuchange resistance basi fen speed ita respond accordingly kulingana na signals za resistance ya joto rid la maji...basi pia ile pressure ya mji itahamia kwenye mfuniko wa radiator ambapo pia ule mfuniko ni spring loaded, sasa kwakua ni spring loaded, nao uta expand na kuruhusu ile excessive pressure kutoka kwenye mfumo wa cooling system na kuhamia kwenys reserve tank ya radiator.. ambapo kwenye reserve tank pressure will be released to surrounds na cooling cycle itakua imekamilika na process itaanza..sass ikitokea thermostat inashindwa funguka basi pressure kwenye system itakua kubwa na itapasua pipe na gari ita over heat na water will be turned to steam...pia hata radiator cap isipofunguka wakati wa pressure inapojaa inaweza sababisha pipe kupasuka pia au kama umeweka radiator cap yenye spring ngumu nayo inaleta shida kwenye cooling system (ndo maana kila cooling system ipo na specific radiator cap with recommended spring weigh ie 1.1kg or, 0.9kg...etc..

Lakini pia kumbuka injini ikipoa huwa ina sinyaa na cooling system husinyaa hivo kutengeneza vacuum kwenye cooling system, sasa vacuum huweze ku introduce air ndan ya cooling system na cooling system haitaji hewa,so ku avoid hii kitu utakuta mfuniko wa radiator una kidude kama kichuchu, kazi ya hiki kidude hurusu vacuum ya cooling system iweze kunyonya maji kutoka kwenye reserve tank na kuzuia succussion ya hewa..na kama hiki kichuchu kisipo funguka utakuta pipe za cooling system zina sinyaa pale injini inapoa.

Sasa here are issues when running engine without thermostat.

1.unaweza leta shida ya piston slap..yaan piston kuwa zinachapa cylinder walls..hii inakua hivi.. injini inapokua imepoa piston huwa zinakua kama zinapwaya kwenye cylinder bore, but injini ikisha kua ya moto piston hutanika na kufikia size inayozkaiwa..sasa the more the time is taken for an internal combustion engine to reach its optimal operating temperature the more the time piston slap will be happening, na hali huwa mbaya zaidi kama gari unawasha na kuondoka with rpm more than 1.5rpm. (utajuaje kama gari ina piston slap..unasikia mlio fulan kakakakakaka alafu baadae injini ikisha pata joto mlio unapotea au kupungua inategemea na tatizo lipo stage gani (mlio unakua kama knocking sound but unatokea juu ya injini na si chini ya injini) kumbuka damage ya piston slap ukichelewa inakulazimu hubarishe block ya injini kwakua piston slap huwa inachimba cylinder wall na inakua piston yenyewe kwa chini ni kwa juu in the opposite side.

2. Running a car with no thermostat unafanya muda wote maji yawe yanazunguka hakuna muda maji yanasimama ili kupoa, so under extreme conditions with limited airflow mfano kwenye milima mikali na mirefu inaweza tokea maji yote yakawa na same temperature hivo cooling ikiwa isiwe effective.

3. Pia kuna mazingira thermostat isipokuwepo injini hupoa sana below the required temperature, hii nayo ni shida na hufanya gari kula mafuta mengi na hata kula oil kuwakua oil ikisha tembea sana husinyaa na kua nyepesi lakini wakati huo huo piston zinapopungua joto hu contract na kuacha space inayoweza ruhusu oil ikavuka piston rings na kuingia ndani ya combustion chamber, na compression huwa ndogo kwakua piston hazijai ndan ya sleeves/bore so ili kukupa power unayotaka, engine has to burn more fuel ku compensate power losses due to low compression inayotokana na thin pistons na thin piston rings.

4. Carbon formation

Mambo ya kuzingatia kuhusu overheating.

Kumbuka kinacho haribu thermostat mara nyingi ni maji tunayotumia (twatumia maji na sio coolant.maji hutengeneze kutu na kufanya thermostat ing'ang'anie.

Na pia unapoenda kununua coolant usinunue anti freezing...huku sio nchi ya baridi so hatuhitaji anti freezing, bali tuna hitaji coolant yenye higher boiling point more than 100°c ili ku raise boiling point ya cooling system.

Una flush cooling system au inapotokea kwa namna moja au nyingine maji yote yamatoka kwenye cooling system na unakata rudishia Maji, hakikisha hewa yote imeondoka kwenye cooling system, ukoacha hewa pockets unatenngeza gaps za coolant ku flow na kusabibisha un even cooling ndani ya injini, pia unasabisha maji yachemke to steam na kupunguza uwezo wa maji kupoza injini na kuleta overheating.

Hakikisha radiator fen yako inazunguka upande ulio sahihi..yaan ina peleka upepo kwenda kwenye engine (either pull or push but towards engine side) kutegemea na feni ipo mbele ya radiator (push) au nyuma ya radiator (pull)

Hakikisha radiator yako haina blockage zozote zinazo zuia maji kupita kwenye zote za radiator core..ikitoea kuna blockage, basi surface area for cooling itapungua significantly na kupunguza cooling efficient, hence overheating.

Kuna overheating zinazo sababishwa na blown head gasket or cracked cylinder walls kwa kesi kama hii inakulazimu ufungue engine u change head gasket ua utatue tatizo la cylinder iliyo crack ndo cooling system itakaa poa.

Overheating issues inaweza tokea kama water pump ina vuja, au impeller imekufa ndani.

Overheating can be caused just by improper radiator cap.. radiator can can cause overheating na severe engine damages..hakikisha unazingatia ratings za mfuniko wa radiator na si kuchukua mfuniko tu ili mradi ni mfuniko unaweka kwa gari yako..be careful kila cooling system ipo na pressure rating yake so na mfuniko unatakiwa uwe sawa na rating ya system yako ili pressure inapojaa mfuniko ufungue valve kwa wakati kuruhusu pressure kua released na ku avoid bursting of pipes na overheating.
 
Noana wadau hapo juu wavutana kuhusu thermostat,

But kiufupi Thermostat ni muhimu kwenye gari for proper temperature control..jua ukitoa thermostat injini inachelewa ku attain its operating temperature quickly, hivo inapelekea gari kuanza ku develop matatizo madigo madogo pindi inapoendeshwa before engine haijafika kwenye operating temperature.

Thermostat hufanya kazi ya kuzuia maji ya moto yasi escape kutoka kwenye engine kwenda kwenye radiator bila kuruhusiwa for heat exchange..sasa hii maana yake nikwamba thermostat inawekwa ku enhance rapid temperature increase kwenye combustion chamber ili kufanya piston na piston rings ziweze ku expand (kutanuka pindi joto linapanda) na kuyeyusha oil, lakini pia kiupandisha oil ndani ya muda mfupi kwenye piston sleeves ( cylinder bore) na kwenye cam shafts, and at the same time silencer (idle speed huwa juu kama ndo wa iwasha injini) hii mechanism ndo hutokea ili injini uweze sasa kufanya kazi inavotakiwa ambapo utakuta piston zimetight vizuri kwenye bore na compression inakua poa hivo injini haiitaji mafuta mengi tena kufanya kazi (kama umegundua injini ikiwa ya baridi ukiwasha unasikia hadi harufu ya mafuta nabichi kwakua combustion haiwi complete wakati wa baridi na oxygen sensor inakua haipati feedback nzuri wakati wa injini ikiwa ya baridi, na ndo maana some models utakuta oxygen sensor ina heater kwa ajili ya hili jambo)

sasa gari ikisha attain temperature inayotakiwa, thermostat inakua inafanya kazi ya kufunguka kuruhusu maji ya moto kutoka na maji ya baridi kuingia ili ku maintain temperature.. namna hii kitu inafanya kazi kunakua na coordination kati ya thermostat, fan switch, na mfuniko wa radiator.. ambapo kwakua mfumo wa upozaji wa injini ni closed system, what happens Temperature inakua controlled by means of pressure inayokua generated na maji pale yanapokua yamekua ya moto na kutaka kuchange form kutoka liquid form to steam(mvuke). Tambua ili maji yawe na uwezo wa ku-transfer heat muda wote yanatikiwa kuwa kwenye liquidi form not otherwise..sasa thermostat pamoja na mfuniko wa radiator huakikisha maji yanakua kwenye kiminikia muda wote..sasa kadiri joto la maji linavozidi kupanda, pressure ya maji hupanda sana kufikia hatua Ile pressure husukuma spring ya thermostat na kuruhusu yale maji ya moto yenye pressure kutoka, yakisha na wakati huohuo yale maji yamoto yanapotoka hukutana na switch ya fen nakuwasha fen ya radiator, nakama switch yako inafanya kazi kwa kuchange resistance basi fen speed ita respond accordingly kulingana na signals za resistance ya joto rid la maji...basi pia ile pressure ya mji itahamia kwenye mfuniko wa radiator ambapo pia ule mfuniko ni spring loaded, sasa kwakua ni spring loaded, nao uta expand na kuruhusu ile excessive pressure kutoka kwenye mfumo wa cooling system na kuhamia kwenys reserve tank ya radiator.. ambapo kwenye reserve tank pressure will be released to surrounds na cooling cycle itakua imekamilika na process itaanza..sass ikitokea thermostat inashindwa funguka basi pressure kwenye system itakua kubwa na itapasua pipe na gari ita over heat na water will be turned to steam...pia hata radiator cap isipofunguka wakati wa pressure inapojaa inaweza sababisha pipe kupasuka pia au kama umeweka radiator cap yenye spring ngumu nayo inaleta shida kwenye cooling system (ndo maana kila cooling system ipo na specific radiator cap with recommended spring weigh ie 1.1kg or, 0.9kg...etc..

Lakini pia kumbuka injini ikipoa huwa ina sinyaa na cooling system husinyaa hivo kutengeneza vacuum kwenye cooling system, sasa vacuum huweze ku introduce air ndan ya cooling system na cooling system haitaji hewa,so ku avoid hii kitu utakuta mfuniko wa radiator una kidude kama kichuchu, kazi ya hiki kidude hurusu vacuum ya cooling system iweze kunyonya maji kutoka kwenye reserve tank na kuzuia succussion ya hewa..na kama hiki kichuchu kisipo funguka utakuta pipe za cooling system zina sinyaa pale injini inapoa.

Sasa here are issues when running engine without thermostat.

1.unaweza leta shida ya piston slap..yaan piston kuwa zinachapa cylinder walls..hii inakua hivi.. injini inapokua imepoa piston huwa zinakua kama zinapwaya kwenye cylinder bore, but injini ikisha kua ya moto piston hutanika na kufikia size inayozkaiwa..sasa the more the time is taken for an internal combustion engine to reach its optimal operating temperature the more the time piston slap will be happening, na hali huwa mbaya zaidi kama gari unawasha na kuondoka with rpm more than 1.5rpm. (utajuaje kama gari ina piston slap..unasikia mlio fulan kakakakakaka alafu baadae injini ikisha pata joto mlio unapotea au kupungua inategemea na tatizo lipo stage gani (mlio unakua kama knocking sound but unatokea juu ya injini na si chini ya injini) kumbuka damage ya piston slap ukichelewa inakulazimu hubarishe block ya injini kwakua piston slap huwa inachimba cylinder wall na inakua piston yenyewe kwa chini ni kwa juu in the opposite side.

2. Running a car with no thermostat unafanya muda wote maji yawe yanazunguka hakuna muda maji yanasimama ili kupoa, so under extreme conditions with limited airflow mfano kwenye milima mikali na mirefu inaweza tokea maji yote yakawa na same temperature hivo cooling ikiwa isiwe effective.

3. Pia kuna mazingira thermostat isipokuwepo injini hupoa sana below the required temperature, hii nayo ni shida na hufanya gari kula mafuta mengi na hata kula oil kuwakua oil ikisha tembea sana husinyaa na kua nyepesi lakini wakati huo huo piston zinapopungua joto hu contract na kuacha space inayoweza ruhusu oil ikavuka piston rings na kuingia ndani ya combustion chamber, na compression huwa ndogo kwakua piston hazijai ndan ya sleeves/bore so ili kukupa power unayotaka, engine has to burn more fuel ku compensate power losses due to low compression inayotokana na thin pistons na thin piston rings.

4. Carbon formation

Mambo ya kuzingatia kuhusu overheating.

Kumbuka kinacho haribu thermostat mara nyingi ni maji tunayotumia (twatumia maji na sio coolant.maji hutengeneze kutu na kufanya thermostat ing'ang'anie.

Na pia unapoenda kununua coolant usinunue anti freezing...huku sio nchi ya baridi so hatuhitaji anti freezing, bali tuna hitaji coolant yenye higher boiling point more than 100°c ili ku raise boiling point ya cooling system.

Una flush cooling system au inapotokea kwa namna moja au nyingine maji yote yamatoka kwenye cooling system na unakata rudishia Maji, hakikisha hewa yote imeondoka kwenye cooling system, ukoacha hewa pockets unatenngeza gaps za coolant ku flow na kusabibisha un even cooling ndani ya injini, pia unasabisha maji yachemke to steam na kupunguza uwezo wa maji kupoza injini na kuleta overheating.

Hakikisha radiator fen yako inazunguka upande ulio sahihi..yaan ina peleka upepo kwenda kwenye engine (either pull or push but towards engine side) kutegemea na feni ipo mbele ya radiator (push) au nyuma ya radiator (pull)

Hakikisha radiator yako haina blockage zozote zinazo zuia maji kupita kwenye zote za radiator core..ikitoea kuna blockage, basi surface area for cooling itapungua significantly na kupunguza cooling efficient, hence overheating.

Kuna overheating zinazo sababishwa na blown head gasket or cracked cylinder walls kwa kesi kama hii inakulazimu ufungue engine u change head gasket ua utatue tatizo la cylinder iliyo crack ndo cooling system itakaa poa.

Overheating issues inaweza tokea kama water pump ina vuja, au impeller imekufa ndani.

Overheating can be caused just by improper radiator cap.. radiator can can cause overheating na severe engine damages..hakikisha unazingatia ratings za mfuniko wa radiator na si kuchukua mfuniko tu ili mradi ni mfuniko unaweka kwa gari yako..be careful kila cooling system ipo na pressure rating yake so na mfuniko unatakiwa uwe sawa na rating ya system yako ili pressure inapojaa mfuniko ufungue valve kwa wakati kuruhusu pressure kua released na ku avoid bursting of pipes na overheating.
Umeelezea vizuri ila kuna maeneo kadhaa umepyaya au umepotosha kidogo.

Mfano kwa haraka hapo kwenye thermostat kuwa inafunguliwa na pressure si kweli. Thermostat inakuwa triggered kufunguka au kujifunga kutokana na kiwango cha joto kilichofikiwa na kipozeo yaani maji au coolant fluid. Gari inapokuwa inawashwa kwa mara ya kwanza huwa inakuwa na lower temperature ambayo huanza kupanda mara vyuma vitakapoanza kusuguana katika engine hatimae joto hukua na kuwa kali between 190 hadi 220 °C na hivyo yale maji au coolant ndani ya engine yakishapashwa huwa yamoto sana na hapo hapo temperature sensor zinawasha feni na sekunde chache thermostat inakuwa triggered kufunguka na kuruhusu maji/coolant kuzunguka ikipita katika radiator na kurudi katika engine kwa kasi huyu yakipozwa na kushushwa jotoridi. Matokeo yake ndani ya dakika chache yale maji au coolant huwa baridi na kushusha joto below 100°C na kufanya regulation ya joto kuwa chini na kusaidia sasa itakiwe kupandishwe tena.
 
Umeelezea vizuri ila kuna maeneo kadhaa umepyaya au umepotosha kidogo.

Mfano kwa haraka hapo kwenye thermostat kuwa inafunguliwa na pressure si kweli. Thermostat inakuwa triggered kufunguka au kujifunga kutokana na kiwango cha joto kilichofikiwa na kipozeo yaani maji au coolant fluid. Gari inapokuwa inawashwa kwa mara ya kwanza huwa inakuwa na lower temperature ambayo huanza kupanda mara vyuma vitakapoanza kusuguana katika engine hatimae joto hukua na kuwa kali between 190 hadi 220 °C na hivyo yale maji au coolant ndani ya engine yakishapashwa huwa yamoto sana na hapo hapo temperature sensor zinawasha feni na sekunde chache thermostat inakuwa triggered kufunguka na kuruhusu maji/coolant kuzunguka ikipita katika radiator na kurudi katika engine kwa kasi huyu yakipozwa na kushushwa jotoridi. Matokeo yake ndani ya dakika chache yale maji au coolant huwa baridi na kushusha joto below 100°C na kufanya regulation ya joto kuwa chini na kusaidia sasa itakiwe kupandishwe tena.
Or thanks kwa kuongeza kitu, kitu ambacho probably niongezee ni kuwa kuna design mbalimbali za thermostat zinazo operate kwa mechanism tofauti but aim ni moja ya temperature regulation...kuna ambazo ni electric, kuna ambazo zinakua na sensing bulb ambayo ndani yake inawekewa fluid ambayo ikiwa under temperature to a certain degree centigrade kuna kua rod inayokua pushed kusukuma spring valve ili kuruhusu maji ya moto yatoke kwenda kupozwa kwenye radiator, na kuna design nyingine inayofunguliwa na pressure ya maji yaliyo expand after being too hot na kutengeneza excessive pressure ambayo Ile pressure husukuma valve ya thermostat na kurusu maji ya escape to radiator...

Kumbuka thermostat inakua na double valve, valve ya kwanza ni kwa ajili ya coolant bypass ndani ya engine block na valve ya pili na kwa ajili ya kuruhusu maji kwenda kwenye radiator kupozwa ambayo mara nyingi ndo ina fail. Na nyingi zinazo fail ni zile za electric lakini pia na zile zinazotumia sensing bulb yenye certain fluid ambayo ile fluid ikiwa ya moto sana basi ile fluid hutengeneza pressure/hu expand na kusukuma kile ki rod ili kufungua valve ya thermostat, sasa hizi huwa zina stuck na kishindwa kufunguka.
 
Back
Top Bottom