Nimependa Maelezo yako mkuu, ila mi ninashida moja ningependa kujua kazi ya VVTiKama umesema ni Lita 20(na siyo ya Tsh 20,000) kwa uchache hata kama gari ile vipi lazima kilometa 150 utoboe. Kwa mfano Brevis inakula mafuta kuliko Mark X,Verossa,Mark Grande,lakini kilometa 140 kwa lita hizo 20 unafika...
Natumia gari langu dogo Toyota rav4j lakin limeanza kula mafuta vibaya, naitaji ushauri wa kiufundi kwani nalipenda sana gari langu, nicheze na mfumo gani ili iwe inakula vzr, gari lenyewe lina CC1998, mwanzoni lilikuwa na racial ya 1LTR for 8km, naitaji msaada kwa mtu mwenye experience na iz gari
haiwezekani mkuu unatupiga kamba lita 20 km 30 imekuwa dreamliner hiyo./Nikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
Acheni kumdhihaki Mungu...Ipeleke kwenye maombi mkuu.
20L inatembea 30km? Au unamaanisha mafuta ya Tsh. 20,000 inatembea 30km, which is too much pia.Nikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
Mkuu acha kutudanganya hata ndege haili ivyoNikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
Huu ulaji kidogo saanaaa wazee wa subaru watakutoa baru wao lita 10 km 2Nikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
hilo jini liko vizuri sana mimi lita 8.5 mafuta ya 20k subaru naenda 65-74kmHapo kutakuwa na shida kweli, mm kweny brevis aka jini makata lita 11 naend km 130,
Mkuu Subaru haina shida sana. Forester na Brevis,nafikiri ni almost the sameHuu ulaji kidogo saanaaa wazee wa subaru watakutoa baru wao lita 10 km 2
Hivi pia hii inachangia ehh...Mkuu Pole!ila naomba kujibiwa,umejuaje inakula sana mafuta?
Sio kwamba unaweka ya 10,000 elfu 10 ndio maaana unaona yanaisha haraka?
Hahaha jamaa angu ana Mark x nae analiita jini mahaba[emoji23]Hapo kutakuwa na shida kweli, mm kweny brevis aka jini makata lita 11 naend km 130,
Huu ni uongo wa karne ya 21[emoji23]Nikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu
Kwa ulaji huo wala usiliite jini, ni moderate kabisa. Hapo ni highway au urban?Hapo kutakuwa na shida kweli, mm kweny brevis aka jini makata lita 11 naend km 130,
Jini hiloNikiweka Lita 20 zinaisha kwa kutembelea km 30 tu