Gari za Cassablaca Kigoma na Tv za nyumbani

Gari za Cassablaca Kigoma na Tv za nyumbani

Emmanuel180

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2019
Posts
342
Reaction score
626
Nyiee hivi mlishawahi kwenda Kigoma kuna gari zinaitwa Cassablanca ukiingia ndani picha linaanza kwanza hitakiwi kuvaa tshirt au nguo nyeupe maana utafika kibondo kama umetoka kumuibia mchina madini kule Buzwagi.

Ok sasa Tv za mule ndani ni flat screen Lg zimechomelewa juu ya dali la gari kwa hiyo mle ndani konda kazi yake kucheza na remote tu[emoji108][emoji1787].

Nyie Kibondo na Kakonko oeeee.

Nimesahau stendi ya Kakonko ilipo ni imezidiwa uzuri na vile vituo vya kupumzika wageni wanapoenda kupanda mlima Meru na Kilimanjaro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji108].
 
Cassablanca wana Lg 32 inch,DreezyD98.

Vumbi au tope jekundu ndio asili ya ardhi ya kigoma,na kwasababu sehemu kubwa ya barabara haina kiwango cha lami ni changamoto kwa nguo nyeupe hasa unaposafiri.

Further-more Mladi wa barabara kiwango cha lami unaendelea na kakonkoo wanajenga stendi ya kisasa.
Ila huyu konda wa Cassablanca, full kucheza mziki uku remote control iko mkononi..[emoji4][emoji4]
 
Cassablanca wana Lg 32 inch,DreezyD98.
Vumbi au tope jekundu ndio asili ya ardhi ya kigoma,na kwasababu sehemu kubwa ya barabara haina kiwango cha lami ni changamoto kwa nguo nyeupe hasa unaposafiri....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Veep kuhusu YEHOVA YILE, maana watu mnapenda udaku kama nn dah.

Kama kuna nafasi ya kukaa Nchi 32, 52, hata 60 kwani shida iko wapi ? Watu waone picha kubwa na nzuri.
 
kuna mtu alipanda treni kwenda kigoma alipanda ana mimba ya mwezi mmoja mpaka kajifungua mtoto akaanza kutembea ndio akafika kigoma



dahh kigoma mbali kweli
 
Tata zile, dah! Ila wako rough sana kwenye mwendo
 
Barabara ya kigoma ... basi kubwa letu saratoga dagaa na mawese yaingia Heko Heko mtabila [emoji445][emoji445][emoji445][emoji444][emoji444]


825 KJ
 
Nyiee hivi mlishawahi kwenda Kigoma kuna gari zinaitwa Cassablanca ukiingia ndani picha linaanza kwanza hitakiwi kuvaa tshirt au nguo nyeupe maana utafika kibondo kama umetoka kumuibia mchina madini kule Buzwagi.

Ok sasa Tv za mule ndani ni flat screen Lg zimechomelewa juu ya dali la gari kwa hiyo mle ndani konda kazi yake kucheza na remote tu[emoji108][emoji1787].

Nyie Kibondo na Kakonko oeeee.

Nimesahau stendi ya Kakonko ilipo ni imezidiwa uzuri na vile vituo vya kupumzika wageni wanapoenda kupanda mlima Meru na Kilimanjaro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji108].
Da, kigoma ndio kwetu ila sijawahi kwenda na basi aisee...
 
Back
Top Bottom