Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
Imekaa vizuri nikipata wadau nitakuunganishaWadau nina gari 3 ambazo nakodisha kwa watu moja ni Toyota Rumion, Toyota Crown na Toyota IST. IST na Crown zimeshapata watu ambao watakuwa wanazitumia.
Imebaki RUMION. Dereva unapewa anakuendesha unapoenda popote ndani ya nchi. Mafuta ni juu yako ila utalipa pesa ya kukodi ambayo sasa itategemeana na uendapo ndani na nje ya Mkoa. Kama unaweza pata mhitaji tuwasiliane inbox please.
Basi miezi hii changamkieni fursa December inakuja tenaMwezi wa 12 kulikuwa na Wachagga wanatafuta magari ya kukodi wakawatambishie kwao
Sawa kakaBasi miezi hii changamkieni fursa December inakuja tena
KiumeDereva wako ni wa Kike au Kiume?
Nashukuru sana.Imekaa vizuri nikipata wadau nitakuunganisha
Ni sharti kubwa kwangu. Unaendeshwa. Kama hutopenda hapo nakuwa sina namna.🙏Nikodi gari unipe na dereva, kama mtu ana dereva wake?
Upo sahihi ndugu yangu. Wengi hawalielewi hili. Nimesha ona wale wanakodisha gari bila dereva kilio chao.Watu wana kukukodishia na dereva sababu ya kutunza gari, maana hiyo ndiyo ofisi yake
Hapa sasa labda uende car rental au mpaka ukinunua lako.Mi napenda kuendesha mwenyewe
Hawa ndugu zangu nsingewapa. Wamepata ajali na gari mbili za jamaa yangu. Sababu ya pombe njiani.Mwezi wa 12 kulikuwa na Wachagga wanatafuta magari ya kukodi wakawatambishie kwao
Mi napenda kuendesha mwenyewe