Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

Au unaweka kidebe?
Most of Tanzanian kulingana na uhalisia ma maisha yetu huwa tunakosea sanaaa mtu kuweka mafuta anasikilzia hadi warming light ya ya fuel na wengne wanaenda mbali zaidi anatumia hadi mafuta ya kwenye reserve tank n kitu mbaya sanaa ktk maisha ya gari lako ukiangalia na quality ya haya mafuta tunatumia haiko vzur in such shida inakuwa kubwa zaidi au wakuta mtu hata ile filter tu habadiri kwa wakati inakuwa clokked na impurities mpka perfomance ya gari inashuka ndo mtu atashtuka.
 
Most of Tanzanian kulingana na uhalisia ma maisha yetu huwa tunakosea sanaaa mtu kuweka mafuta anasikilzia hadi warming light ya ya fuel na wengne wanaenda mbali zaidi anatumia hadi mafuta ya kwenye reserve tank n kitu mbaya sanaa ktk maisha ya gari lako ukiangalia na quality ya haya mafuta tunatumia haiko vzur in such shida inakuwa kubwa zaidi au wakuta mtu hata ile filter tu habadiri kwa wakati inakuwa clokked na impurities mpka perfomance ya gari inashuka ndo mtu atashtuka.
True
 
Linapokupja swala la magari wakenya , wapo slow sana ,
Wakati sisi tunatumia marcopolo miaka ya 2000 wao bado walikuwa wanatumia nissan diesel na isuzu , leo hii ukienda nairobi kisumu au mombasa, fleets ni scania
Walikuwa wanatumia sana nissan kwenye shuttle , leo hii ni toyota hiace kd na rz series ndo ,zinadominate sacos shuttle
Gari zinazodqfirisha miraa kenya ni fleets za Toyota Hilux tu miraa ni moja ya kazi ngumu sana kwa kenya na gari inatakiwa iwe ya uhakika kweli kweli , miraa ni perrishable na huwa inasafiri umbali wa hadi km 800 kutoka shamba hadi sokoni
Toyota ndo inazidi kupamba moto Kenya.
Hapo nimekusoma vyema mkuu, maana magari ya toyota bongo yanapendwa sana kuliko zambia na kenya. Mfano nchi kama gambia unakutana na tax nyingi sana ambazo ni benz, tena unakuta zimechoka tu kama corola za huku, bt ziko poa tu na ndio maisha yao waliyozoea, i think ukienda huko ukiwaambia kuwa european car ni majanga watakushangaa
 
Hapo nimekusoma vyema mkuu, maana magari ya toyota bongo yanapendwa sana kuliko zambia na kenya. Mfano nchi kama gambia unakutana na tax nyingi sana ambazo ni benz, tena unakuta zimechoka tu kama corola za huku, bt ziko poa tu na ndio maisha yao waliyozoea, i think ukienda huko ukiwaambia kuwa european car ni majanga watakushangaa
Ukitaka kujua umuhimu au ubora wa Toyota , angalia watu wanaotumia magari kwenye extremes , wildlifes safari , magaidi , humanitarian service provides , pirates and the likes , hawa popote duniani wanaunua Toyota katika missions zao, kuna kipindi Toyota ,walikuwa kikaangoni walipoulizwa alqaeda, walikuwa wananunua wapi brand new hilux na land cruisers.
United Nations, ambayo , ni purely American, wanaponunua magari kwa ajili ya missions zao , huwa hawanunui Ford , Chelvolet , dodge au Cardlillac,, they'll buy Toyota , with reasons.
 
Ukitaka kujua umuhimu au ubora wa Toyota , angalia watu wanaotumia magari kwenye extremes , wildlifes safari , magaidi , humanitarian service provides , pirates and the likes , hawa popote duniani wanaunua Toyota katika missions zao, kuna kipindi Toyota ,walikuwa kikaangoni walipoulizwa alqaeda, walikuwa wananunua wapi brand new hilux na land cruisers.
United Nations, ambayo , ni purely American, wanaponunua magari kwa ajili ya missions zao , huwa hawanunui Ford , Chelvolet , dodge au Cardlillac,, they'll buy Toyota , with reasons.
Which reason
 
Back
Top Bottom